Wana JF, jana mlitupa taarifa ya kuitwa kazini kwa wale 70, baada ya kuona hayo, nilikimbilia kwa muuza magezeti, nkanunua gazeti la uhuru, kuangalia jina langu halipo.
Sikukata tamaa nkanunua daily news pia jina halipo, nikaamua kulipia 200 kwa kila gazeti, kuangalia mengi hayana majina, nilichukua hatua ya kutembelea website yao, pia jina langu halikuonekana.
Hatimaye nikawauliza marafiki kama jina langu lipo, wakaniambia herufi ya kwanza ya jina lako haipo kabisa kwenye list. Ndugu zangu nimekata tamaa na sikula tokea jana mpaka leo, sina hata hamu ya chakula! Maombi yenu ndugu zangu!
Sikukata tamaa nkanunua daily news pia jina halipo, nikaamua kulipia 200 kwa kila gazeti, kuangalia mengi hayana majina, nilichukua hatua ya kutembelea website yao, pia jina langu halikuonekana.
Hatimaye nikawauliza marafiki kama jina langu lipo, wakaniambia herufi ya kwanza ya jina lako haipo kabisa kwenye list. Ndugu zangu nimekata tamaa na sikula tokea jana mpaka leo, sina hata hamu ya chakula! Maombi yenu ndugu zangu!