Tangazo wanatoa wenyewe eti chagua sehemu tatu utakazohitaji kufanya kazi..mtu unachagua mikoa tena ht siyo dar.,, mwanza...arusha...ni mikoa mingine kabisaa unayoona inafaa..tena mpk mkoa wako ulozaliwa huko kijijini umeuchagua na wataalamu hakuna.lakini hawakupangi...wanaenda kukupanga kwingine..nje kabisa ya halmashauri ulizochagua hizo 3...sasa mlikua na maana gani tuchague..halafu watoto wa vigogo mnawapanga dar...na wizarani..ili wasifanye kazi..this suuuucks..yote ya nini ntabaki huku huku private..ukizingatia nimesomeshwa na baba yangu tangu vidudu mpk chuo...sijatumia sentI yenu kunigharamia ukizingatia mkopo wenyewe mnaangalia sura..sio lazma saana..huwezi nilazimisha kwenda nisipochagua
ndio mlivyo mkinyiwa ajira mnaanza kukilalamikia chama tawala haya bana wenzako hata hizo Halmashauri walizitaka lakini wamezikosa wapo tu mtaani Hongera kwa kupata privtae huko kazana mkuu!
Tangazo wanatoa wenyewe eti chagua sehemu tatu utakazohitaji kufanya kazi..mtu unachagua mikoa tena ht siyo dar.,, mwanza...arusha...ni mikoa mingine kabisaa unayoona inafaa..tena mpk mkoa wako ulozaliwa huko kijijini umeuchagua na wataalamu hakuna.lakini hawakupangi...wanaenda kukupanga kwingine..nje kabisa ya halmashauri ulizochagua hizo 3...sasa mlikua na maana gani tuchague..halafu watoto wa vigogo mnawapanga dar...na wizarani..ili wasifanye kazi..this suuuucks..yote ya nini ntabaki huku huku private..ukizingatia nimesomeshwa na baba yangu tangu vidudu mpk chuo...sijatumia sentI yenu kunigharamia ukizingatia mkopo wenyewe mnaangalia sura..sio lazma saana..huwezi nilazimisha kwenda nisipochagua
Ni wapi nimetaja chama..okey sawa ntaingia govt siku WAPINZANI wakiwa madarakani
Hasira za mkizi,kwani ukiacha utamkomoa nani.Tangazo wanatoa wenyewe eti chagua sehemu tatu utakazohitaji kufanya kazi..mtu unachagua mikoa tena ht siyo dar.,, mwanza...arusha...ni mikoa mingine kabisaa unayoona inafaa..tena mpk mkoa wako ulozaliwa huko kijijini umeuchagua na wataalamu hakuna.lakini hawakupangi...wanaenda kukupanga kwingine..nje kabisa ya halmashauri ulizochagua hizo 3...sasa mlikua na maana gani tuchague..halafu watoto wa vigogo mnawapanga dar...na wizarani..ili wasifanye kazi..this suuuucks..yote ya nini ntabaki huku huku private..ukizingatia nimesomeshwa na baba yangu tangu vidudu mpk chuo...sijatumia sentI yenu kunigharamia ukizingatia mkopo wenyewe mnaangalia sura..sio lazma saana..huwezi nilazimisha kwenda nisipochagua
Punguza hasira,serikali inalea ndg!waweza umwa hata miez sita na salary hiko palepale.
Hiyo hata makampuni binafsi ipo... Inaanza miezi 6 mshahara mzima, then kama bado hujapona inafuata nusu mshahara, then unaondoshwa kazini kama bado hujapona...Punguza hasira,serikali inalea ndg!waweza umwa hata miez sita na salary hiko palepale.
Kwani ulitaka kufanya kazi serikalini ili iweje? Ili ukafanye uvivu?