kapistrano
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,244
- 455
Ushauri wangu wewe nenda walipokupangia ukijipanga vyema unaweza zogea sehemu uliyopanga maana ukilalamika ukiwa umeingia ni bora kuliko ukiwa njee sasa basi kama ulijaza na kupangiwa sipo ni nafasi nzuri ya kulipot ulipo pangiwa then utadai hayo madai ya kuwa uliomba sehemu gani then umepangwa wapi? Hivyo ripoti hiyo sehemuwalipokupanga kwa wakati maaana uzwezi kiujua mungu anampango gani na wewe kupelekwa huko.