Wewe jamaa hauko sawa akilini,nahisi unatafuta umaarufu kwa nguvu. Kila siku unapost mautumbo...Kijarida changu cha (Ukombozi Wa Pili wa Taifa Letu 2011-Deogratius Pio Kisandu), Kitabu changu cha +(Utani wa SERIKALI na Wananchi 2013-Deogratius Mashaka Kisandu), na vitabu vyangu vijavyo, makala zangu zote kwenye Social Media, Kwenye Magazeti na mahojiano yoyote. Kama Rais anayafanyia kazi hii ni Baraka kwangu hata asipo nisifia akawasifia wengine ili mradi Hekima yangu INA iishi.
Cheo ni dhamana ukipewa unakitumikia lakini si kama mnaonizushia uongo kwa maslahi yenu. Mimi ni mzima wa afya na shule zimefungwa na Niko likizo na juzi nimetoka bank Ku droo pesa ya sikukuu. Washikaji Mimi ni mwajiriwa japo mmenifilisi. Kazi njema Rais Magufuli na sikukuu njema.
Deogratius Kisandu
Kahama-Tanzania.
binamu nambiebinam
YESU kazaliwa umeona?binamu nambie
Mkuu nimecheka mstari wa mwisho anaposema kazi njema Rais na sikuu njema Magufuri, huyu jamaa hana tofauti na macelebrityWewe jamaa hauko sawa akilini,nahisi unatafuta umaarufu kwa nguvu. Kila siku unapost mautumbo...
Mkuu una busara na hekima nyingi. Unajua lazima ungetumbuliwa. Rais hataki independently thinking civil servants! Hiyo haina mjadala!! Sikukuu njema na wewe.Kijarida changu cha (Ukombozi Wa Pili wa Taifa Letu 2011-Deogratius Pio Kisandu), Kitabu changu cha +(Utani wa SERIKALI na Wananchi 2013-Deogratius Mashaka Kisandu), na vitabu vyangu vijavyo, makala zangu zote kwenye Social Media, Kwenye Magazeti na mahojiano yoyote. Kama Rais anayafanyia kazi hii ni Baraka kwangu hata asipo nisifia akawasifia wengine ili mradi Hekima yangu INA iishi.
Cheo ni dhamana ukipewa unakitumikia lakini si kama mnaonizushia uongo kwa maslahi yenu. Mimi ni mzima wa afya na shule zimefungwa na Niko likizo na juzi nimetoka bank Ku droo pesa ya sikukuu. Washikaji Mimi ni mwajiriwa japo mmenifilisi. Kazi njema Rais Magufuli na sikukuu njema.
Deogratius Kisandu
Kahama-Tanzania.
Kijarida changu cha (Ukombozi Wa Pili wa Taifa Letu 2011-Deogratius Pio Kisandu), Kitabu changu cha +(Utani wa SERIKALI na Wananchi 2013-Deogratius Mashaka Kisandu), na vitabu vyangu vijavyo, makala zangu zote kwenye Social Media, Kwenye Magazeti na mahojiano yoyote. Kama Rais anayafanyia kazi hii ni Baraka kwangu hata asipo nisifia akawasifia wengine ili mradi Hekima yangu INA iishi.
Cheo ni dhamana ukipewa unakitumikia lakini si kama mnaonizushia uongo kwa maslahi yenu. Mimi ni mzima wa afya na shule zimefungwa na Niko likizo na juzi nimetoka bank Ku droo pesa ya sikukuu. Washikaji Mimi ni mwajiriwa japo mmenifilisi. Kazi njema Rais Magufuli na sikukuu njema.
Deogratius Kisandu
Kahama-Tanzania.
Mkuu huyu wala sio anatafuta umaarufu bali ana ugonjwa wa akiliMKUU, LAZIMA UNA TATIZO, USIPUUZIE KAJICHUNGUZE
Kuna mtu alisema unatafuta umaarufu kwa nguvu.. mimi nilimpuuza
Ila naanza kuziona alama zote za ukweli wa ile kauli.
Wewe ni yupi kati ya Deogratias Pio na Deogratias Mashaka?
Ila maelezo yako duh unautamani kweli u DC....n.k