Ebwana nilikuwa kanisani jamaa mmoja akaingia na Sigara! Dah nilishtuka kweli ilibakia kidogo tuu nidondoshe bia yangu!
Mh mama! Kwa hiyo kama hakuna bango la 'no smoking' hakuna shida?
Teh teh teh,pole bwana! We pasta nini?
Mods futa hii..
Mods futa hii..
acha kudata.....
Na wewe siku hizi umejiunga na dawati la mamods? Dah ndo maana ...!!
Kumbuka huu ni ukumbi wa kuondoa stress na si vinginevyo..kama upo kubishana hapa si pahala pake..
Dah,ukumbi mzuri huu......
Lete vichekesho vya maana next time.. Sio unapost tu kuongeza idadi za posts bana..sawa?
wewe acha ushamba.... si utulie tuu... huku watu ni teh teh teh teh teh teh tu.
Ebwana nilikuwa kanisani jamaa mmoja akaingia na Sigara! Dah nilishtuka kweli ilibakia kidogo tuu nidondoshe bia yangu!
Inawezekana na wewe unahitaji tiba ...teh teh teh
Ebwana nilikuwa kanisani jamaa mmoja akaingia na Sigara! Dah nilishtuka kweli ilibakia kidogo tuu nidondoshe bia yangu!