NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,229
- 12,757
NALIA NGWENA Leo nimefadhika sana Tena na mungu atanisamehe kwa hilo, nimeona ili nisiwe na poteza muda wangu ni Bora nisiende kanisani tu.
Ipo hivi, nimeona mavazi ya ajabu yaliyovaliwa leo kanisani mpaka nikajiuliza nipo kanisani au klabu Tena siyo kwa madada mmoja tu Bali nimeona kwa wadada tofauti kwa kweli nilifadhaika mno.
Imagine nguo imewamba imetaiti mwili na kijungu kimebinuka Kama mtungi wa gesi halafu mtoto wa kike yupo mbele anacheza kwaya kwa kweli nilijikuta nameza fundo la mate na mwazo yangu kwenda mbali kabisa.
Dooh, Fito yangu ndani ya boksa ilinyanyuka na kusimama vilivyo na kunipelekea kukosa amani kabisa, mwamba niliona ngoja niende walau toileti nikatafute njia mbadala nilifika toilet nilipiga push up walau kumi ili kutuliza munkali Wa Fito/Abdala kichwa wazi na kweli nilifanikiwa lakini cha mtema kuni nilikiona maana nilifadhaika mno Tena mno.
Maoni Yangu: Viongozi wa kanisa msifuge huu upuuzi wa dada zetu kuja kushindana mavazi kanisani ipo siku watatuua kwa ugwadu, leo sala yangu imeenda bure kwa kweli nikili tu nilikwenda kanisani kutembea na siyo kufanya ibada.
Ipo hivi, nimeona mavazi ya ajabu yaliyovaliwa leo kanisani mpaka nikajiuliza nipo kanisani au klabu Tena siyo kwa madada mmoja tu Bali nimeona kwa wadada tofauti kwa kweli nilifadhaika mno.
Imagine nguo imewamba imetaiti mwili na kijungu kimebinuka Kama mtungi wa gesi halafu mtoto wa kike yupo mbele anacheza kwaya kwa kweli nilijikuta nameza fundo la mate na mwazo yangu kwenda mbali kabisa.
Dooh, Fito yangu ndani ya boksa ilinyanyuka na kusimama vilivyo na kunipelekea kukosa amani kabisa, mwamba niliona ngoja niende walau toileti nikatafute njia mbadala nilifika toilet nilipiga push up walau kumi ili kutuliza munkali Wa Fito/Abdala kichwa wazi na kweli nilifanikiwa lakini cha mtema kuni nilikiona maana nilifadhaika mno Tena mno.
Maoni Yangu: Viongozi wa kanisa msifuge huu upuuzi wa dada zetu kuja kushindana mavazi kanisani ipo siku watatuua kwa ugwadu, leo sala yangu imeenda bure kwa kweli nikili tu nilikwenda kanisani kutembea na siyo kufanya ibada.