Jerry santonga
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 642
- 550
mafunzo ni mwaka mmoja jwtzNdugu yangu kama hujui kitu bora usiongee, hilo jeshi unalomaliza mafunzo unapata nyota 3 (Captain) ni la wapi? hata la Idd Amini halikuwa hivyo!!
ukimaliza form 6 au Bachelor unaingia mafunzo miezi sita..(kama sijakosea) na ukimaliza unapata nyota moja then from there utapanda kutokana na utendaji wako na mafunzo.....