Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,179
- 3,539
wadau napenda kujua kwa yeyote anaefahamu ya kwamba mtu mwenye degree akienda jeshini na polisi ana cheo gani
mtu mwenye technician certificate anakuwa na cheo gani,mtu mwenye form six ana cheo gani
na mwisho mtu mwenye diploma anakuwa sifa gani nisaidieni..........ili nifahamu
mtu mwenye technician certificate anakuwa na cheo gani,mtu mwenye form six ana cheo gani
na mwisho mtu mwenye diploma anakuwa sifa gani nisaidieni..........ili nifahamu