Sifa za wanawake wanaopenda kuvaa madela

Sifa za wanawake wanaopenda kuvaa madela

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
mi nnayo ya kuvaa kwenye misiba tu!

Mana misibani siku hizi sare dera...!!
Ila kuvaa km vazi la kutokea hapana!
Nilitaka kununua moja la kushindia na joto hili linalokuja, lakini nimeghairi mkuu.
 
Nimejaribu kufanya research ndogo ya mademu wanaopenda kuvaa madera. Matokeo niliyoyapata:
1. Wanapenda taarabu na vigodoro, kwenye rusharoho huko balaa
2. Waongo, wambeya na washinda vibarazani
3. Wengi hawajaolewa
4. Ni kero kwa wanaume yaani ukikutana nae tu anaomba umnunulie chipsi
5. Ni mabingwa wa kuvuruga ndoa za watu na wanapenda kutembea na waume za watu
6. Wana matusi na hawaangalii wakati wala eneo alilopo. Matusi anayoporomosha hata kwa mtoto wake utafikiri alibakwa
7. .... ongezea
Its true , siwapendi kweli

Haya ndio mavazi ya kijijin kwenu mkuu

article-0-02F5B49200000578-782_468x331.jpg


vjjn.jpg


haya ndio mavazi ya mjini
IMG_9739.jpg



dsc_0061.jpg
tumblr_ltss70IRtv1r1dfa4o1_400.jpg

picts 020.jpg
 
Nilitaka kununua moja la kushindia na joto hili linalokuja, lakini nimeghairi mkuu.
Nnua to my...!!
Mie ninayo mawili ya kufanyia usafi nyumban!

Asubuhi najivalia nafanya shughuli zanguuu....!

Nashindiaga home tu!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Naona huruma sana kw ndugu zangu wa Africa na huenda kufikiwa na maendleo endelevu ikaendlea kuwa km ndoto ya mchana tu baada ya mda mliokwisha upoteza bado mnaendlea kuupoteza na mwengne oh natamani HATA kulia aisee poleni
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hamna mie tu mvivu!!

naweza shinda from morning to evening sijatoa uso nje...!!
Dah wewe acha kibabu kikupende kwa kwel maana sio kwa kukaa ndan huko.. au nyama za kuvalia dela hazipo
 
Uongo mtupu. Navaa madera ila sina hata kimoja ulichokitaja hapo .
Tatizo lake wewe unaye livaa huwa huzioni kama una hizo tabia unaona wewe ni wa kawaida ila jamii iliyokuzunguka ndio wanaziona hizo tabia zako
 
Dah wewe acha kibabu kikupende kwa kwel maana sio kwa kukaa ndan huko.. au nyama za kuvalia dela hazipo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

weweeeee!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom