Sifa za wanawake wanaopenda kuvaa madela

Sifa za wanawake wanaopenda kuvaa madela

Wasukuma utawajua tu,sasa wake zetu huku tanga waanze kuvaa kama wanawake wa huko mwakuhenga?huwezi kukuta mtu mwenye akili timamu akakusapoti kwenye huu upuuzi wako,halafu tulitakiwa tulalamike sisi waume zao sio nyinyi wakuja,hebu rudi kwenu usichafue miji ya watu kwa kunuka mdomo kama panya kafia humo,mkazi wa sengerema wewe,haiwezekani ututukanie wake na mama zetu kwa mavazi yao wayapendayo,unataka wavae vimini?au watembee na magunia kama wanawake wa huko kwenu?
 
Kweli huyu mleta maada sijui katokea wapi? Kutwa nzima umeshinda umejibana kwa mavazi ya kiofisi, kanisani harafu ufike nyumbani bado uendelee na nguo zakujibana heeee!!! Hapa dera kwa raha zetu litahusika maana unauachia mwili upumue kwa raha tena kama anakerwa anywe sumu asiwaone wavaa madera
Yaaani ...ndo maana nimemwambia research yake ni kwa mtogole. Maana anataka kulazimisha ufanano wa tabia za majirani zake na za watu tuliostaarabika..damn it!
 
  • Thanks
Reactions: nao
13.Ni wataalamu sana wa kuboost matiti
14.huwa wanavaa chupi tu na kisha dera sasa basi akipita lazima mwenye jina lake asimame.
 
Jamani madela ni nini?

Mbona hamjibu. Naomba kuona picha ya dera please!?!

dsc_0061.jpg


picts 020.jpg
tumblr_ltss70IRtv1r1dfa4o1_400.jpg
12345971_446821785521649_1348586846_n.jpg
IMG_9739.jpg
 

Attachments

  • tumblr_m6vt83A1GQ1rp5dt3o1_1280.jpg
    tumblr_m6vt83A1GQ1rp5dt3o1_1280.jpg
    45.3 KB · Views: 211
Mbona nyie msiovaa hayo madera ndio wenye tabia za hovyo,yaani kabisa umekaa ukatafakari ukaona uje na huu upuuzi unaouita utafiti,dhahiri unaonekana hizo ulizoziorodhesha ndio tabia zako,kuna usemi unaosema simple mind discuss people ,na wewe ndio simple mindkwa sababu umekuja hapa na kujadili watu,tafuta shughuli ingine itakayokuongezea maarifa badala ya kuja hapa na kujadili watu,sijui waswahili ,wazaramo au watu wa Tanga au pwani No,tafuta ishu ingine ya maana kwani unajiangusha wewe siyo great thinker,Great thinker hawezi kuja na petty ishu ya kidaku kama hii,subiri wadaku wenzako wakusupport lakini siyo great thinker hawezi kujadili udaku.

Na kapoteza muda bure kuandika ujinga, na unaweza kukuta ana bonge la Tumbo, Sukari inamnyemelea, pressure inamtafuta.
Badala ya kutumia huo muda alioaleta upuuzi hapa kufanya Mazoezi, walau akimbie km 1 kupunguza ukaribu wa Maradhi yanayomnyemelea, anautumia kuandika vitu vya dhana tu.
 
Nimejaribu kufanya research ndogo ya mademu wanaopenda kuvaa madera. Matokeo niliyoyapata:
1. Wanapenda taarabu na vigodoro, kwenye rusharoho huko balaa
2. Waongo, wambeya na washinda vibarazani
3. Wengi hawajaolewa
4. Ni kero kwa wanaume yaani ukikutana nae tu anaomba umnunulie chipsi
5. Ni mabingwa wa kuvuruga ndoa za watu na wanapenda kutembea na waume za watu
6. Wana matusi na hawaangalii wakati wala eneo alilopo. Matusi anayoporomosha hata kwa mtoto wake utafikiri alibakwa
7. .... ongezea
DERA BILA CHURA NI SAWA NA KANZU TU.....Hahahahaaaa
 
Wengi wanapenda liwa mtandao pendwa ukiwa nae kwa bed utasikia "baby nipeleke chooni" [emoji15]
 
Mbona nyie msiovaa hayo madera ndio wenye tabia za hovyo,yaani kabisa umekaa ukatafakari ukaona uje na huu upuuzi unaouita utafiti,dhahiri unaonekana hizo ulizoziorodhesha ndio tabia zako,kuna usemi unaosema simple mind discuss people ,na wewe ndio simple mindkwa sababu umekuja hapa na kujadili watu,tafuta shughuli ingine itakayokuongezea maarifa badala ya kuja hapa na kujadili watu,sijui waswahili ,wazaramo au watu wa Tanga au pwani No,tafuta ishu ingine ya maana kwani unajiangusha wewe siyo great thinker,Great thinker hawezi kuja na petty ishu ya kidaku kama hii,subiri wadaku wenzako wakusupport lakini siyo great thinker hawezi kujadili udaku.
Dela linakuhusu, ebu lichomekee kwenye pichu kisha piga chura.
 
Nimejaribu kufanya research ndogo ya mademu wanaopenda kuvaa madera. Matokeo niliyoyapata:
1. Wanapenda taarabu na vigodoro, kwenye rusharoho huko balaa
2. Waongo, wambeya na washinda vibarazani
3. Wengi hawajaolewa
4. Ni kero kwa wanaume yaani ukikutana nae tu anaomba umnunulie chipsi
5. Ni mabingwa wa kuvuruga ndoa za watu na wanapenda kutembea na waume za watu
6. Wana matusi na hawaangalii wakati wala eneo alilopo. Matusi anayoporomosha hata kwa mtoto wake utafikiri alibakwa
7. .... ongezea
Its true , siwapendi kweli
 
Inaonekana wewe huko kwenu munapenda sana kuvaa nguo za uchi maana haujui kama dela ni vazi la HESHIMA fikiri na tafakari vizuri kabla haujatoa mapovu yako humu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom