Sifa za wanawake wanaopenda kuvaa madela

Sifa za wanawake wanaopenda kuvaa madela

Yaaani ...ndo maana nimemwambia research yake ni kwa mtogole. Maana anataka kulazimisha ufanano wa tabia za majirani zake na za watu tuliostaarabika..damn it!
Hata research ya maleria hufanyika maeneo yenye mbu wengi huwezi kwenda zanzibar wakati unajua fika maleria zanzibar hayapo
 
Mcharuko Level: WORLD CLASS
Yani Ni Mcharuko,Hawanyimiagi Walichopewa Na Mwenyezi Mungu,We Elezea Tu Shida Yako.
NB:Hawa Naowaongelea Mimi Ni Kina Stumai,Habiba Na Swaumu Wa Huku Uswahilini Kwetu Ambao Madera Ndio Outfit Sio Nyie Kina Mercy Na Kina Fatmah Mnaovaa Maderaa Koz Of Shughuli Maalum Ie Kitchen Party Na Kuiga Koz Its Trending..
 
13.Ni wataalamu sana wa kuboost matiti
14.huwa wanavaa chupi tu na kisha dera sasa basi akipita lazima mwenye jina lake asimame.
Hahaha sasa ukute kaboost bila hata kujiangalia kwenye kioo utachoka moja limepanda juu
 
actual dera linaendana na lifestyle flan hv ambyo men uwaga always tunaiona first time tu ya kumuangalia mwanamke,dera kama dera halina shida sasa unakuta na mkorogo...unakuta anatembea hrk km anafukuzwa ,una km yupo na shoga ake wanaongea kwa sauti hlf wanashindana ujinga waliomfanyia shoga yao huko au kumnang'a,macho sasa mwanamke anapepesa macho kinyong'a afadhali yan kika tukio anataka kuliona yan macho hayana utulivu hii ni mbaya sana kwa mwanamke coz mwanaume anaweza kugundua mapema kbs kwa huyu mwanamke sifuri just kwa kuangalia movement ya macho yako kwa few minutes..sasa kuna wanavaa madela mtyotyo anaita anakawowowo flan hv rangi ipo hlf ukimuona tu unajua huyu sio mswahili na linawatoaga lzm ugeuke kiwiziwizi ..aloo wanawake wanavutia jamani tuache masihara....
 
  • Thanks
Reactions: JMF
Kuna umuhimu wa kuwa na kamusi ya maneno ya mtaani. Sidhani kama mama au mke wako katika category ya "mademu" kwenye huu muktadha. Angesema "wanawake", then hapo sawa.

Kimsingi, "mademu" wana tabia nyingi zilizokosa ustaarabu. Ningependa kusikia mchango wa Miss Natafuta.
Demu inatokana na neno la kiingereza "Dame" ambalo ni sawa na "Lady". Tatizo ni kwamba msamiati wa demu/mademu kwa kiswahili ni sawa na tusi kubwa linaloonesha binti fulani hana adabu, malaya nk.
 
13. Wengi wanaitwa Aisha, Mwajuma, Mariam, Fatuma, Halima, Amina.....niwachache sana wanaitwa Joyce, Angel, Happy,
14. Wanene wanene
15. Wanashinda sana saloon
16. Wanapenda kutembea na waume za watu
17. Wanapenda sana kujitolea kwenye shughuli za kijamii kama vile misiba na harusi
 
Mtoa mada na wanaoshabikia uzi wote akili zenu sawa.. Haiwezi uka stereotype watu wote wanaovaa hivo wanatabia hizo. Ni sahihi mi nikisema mna akili sawa na njiwa. Nawajua wengi wanaovaa vazi ilo na hawana ata chembe ya hayo mliosema. Wazazibwenu pia wanazivaa! Je nao wanatabia hizo. Tafakari kabla hujaleta utumbo wako huku
Rudia uzi wake uusome vizuri. Hajasema wote. Kasema asilimia kubwa. Au hujui nini maana ya neno asilimia?
 
Demu inatokana na neno la kiingereza "Dame" ambalo ni sawa na "Lady". Tatizo ni kwamba msamiati wa demu/mademu kwa kiswahili ni sawa na tusi kubwa linaloonesha binti fulani hana adabu, malaya nk.

Asante kwa mchanganuo, tho nilikuwa nafahamu tayari.

Sidhani kama hiyo maana ya kiswahili uliyoitoa hapo ni ya kweli. Demu sio neno la kistaarabu sana, ila kamwe halina maana mbaya hivyo.
 
Asante kwa mchanganuo, tho nilikuwa nafahamu tayari.

Sidhani kama hiyo maana ya kiswahili uliyoitoa hapo ni ya kweli. Demu sio neno la kistaarabu sana, ila kamwe halina maana mbaya hivyo.
Mkuu misamiati mingi inaanziaga vijiweni, wanamuziki wanaiibua na watu wanaisikiliza kupitia sanaa. Dame/demu ni sawa na teacher/ticha. Ticha inaonekana ni jina la kihuni wakati teacher ni heshima.
 
Yaani nyinyi wa Africa ata cjui mkoje hivi kuna group linaweza kukaa na kujiona ndio bora kuliko wengne,hivi kw kipi hasa, mnanichekesha sanaaa nikifikiria nakusoma vtuko vyenu yaani baada yakutafuta mlijikwaa wapi na muanze vp harakati zakujikwamua ndokwanzamnazidi kuchokonoana wenyewe kw wenyewe
 
Nilikuwa na mpango wa kununua moja, lakini baada ya uzi huu nimeghairi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
mi nnayo ya kuvaa kwenye misiba tu!

Mana misibani siku hizi sare dera...!!
Ila kuvaa km vazi la kutokea hapana!
 
Mtoa mada na wanaoshabikia uzi wote akili zenu sawa.. Haiwezi uka stereotype watu wote wanaovaa hivo wanatabia hizo. Ni sahihi mi nikisema mna akili sawa na njiwa. Nawajua wengi wanaovaa vazi ilo na hawana ata chembe ya hayo mliosema. Wazazibwenu pia wanazivaa! Je nao wanatabia hizo. Tafakari kabla hujaleta utumbo wako huku
Kama utafiti wa twaweza tumeukubali kwa nini na huu tusiukubali au na wewe fanya wako utafiti upingwa kwa utafiti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom