ball joint
Member
- Jul 9, 2016
- 89
- 33
Bado kimoja wana mabwana wengi hawawez kudumu mwanaume mmoja bila kuwa na timu wanaona maisha haya end.
Ofcourse sio woteUongo mtupu. Navaa madera ila sina hata kimoja ulichokitaja hapo .
Nilikuwa na mpango wa kununua moja, lakini baada ya uzi huu nimeghairi.
Wanachezea Khnga moko..Nani kakuambia dera ni vazi la wanawake wasiojiheshimu?
Huko chanika si ndo uswahilini/ uzaramoni hukoUtafiti wako haujakamilika! Kama chanika hilo ndo vazi lao! Uwe umeolewa au singo!! Mstaarabu au kicheche!
Raha ya dela nyama..!mademu wanaovaa madera wengi wao wana makalio makubwa
Ndio ninazo tena zote.I
Unaonekana una hizo sifa
piaa wengi waoo wanachuraa balaaa
Hahahahah kweli kabisa ujakosea8. Asilimia kubwa wanajichubua, unakuta knuckles nyeusii tiii ila sura "nyeupe".
9. Wengi ni wazaramo, wenyeji wa Tanga, in short wa mwambao etc!
10. Waswahili, ustaarab zero!
11. Wengi ni failure wa shule TENA la saba au ni drop out wa sekondari.
12. Kitandani wengi wako poa.
kama huna nyama ikunjie kwenye chupi
Uongo mtupu. Navaa madera ila sina hata kimoja ulichokitaja hapo .
Kajolijo ili dunia isonge mbele ni lazima wawepo watu sampuli za kina bigboy74 ukimjibu hili atakwambia mboa acknowledgement haipoWewe utakua hujamuelewa.. unaelewa maana ya utafiti? Ina maana alchukua sampo Na yeye hajasema wote ispokua n wengi wao...
Siku hizi hawachomeki kwenye pichu ila wanaivutia kwa mbele ili chura aonekane vizuri si unajua hawavai pichu kwani pichu inapunguza mtetemo!alafu ule mtindo wa kuchomeka dela kwenye chupi huwa siupendi bas tu wananichefuaga