Kaa nao kwenye nyumba za kuoanga. Utanuonea.Mtoa mada na wanaoshabikia uzi wote akili zenu sawa.. Haiwezi uka stereotype watu wote wanaovaa hivo wanatabia hizo. Ni sahihi mi nikisema mna akili sawa na njiwa. Nawajua wengi wanaovaa vazi ilo na hawana ata chembe ya hayo mliosema. Wazazibwenu pia wanazivaa! Je nao wanatabia hizo. Tafakari kabla hujaleta utumbo wako huku
We mzee unatuchosha sasa.. Hayo yote kwani mtoa mada anafanya research ya kupata phd?Tatizo umefanya research ndogo. Huwa sikubali mambo ya research ndogo mpaka kubwa zithibitishe.
Fanya kubwa halafu rudi na matokeo.
Usisahau kuweka hivi.
1. Methodology
2. Sample space
3. Margin of error
4. Publication
5. Peer review
6. Control group
7. Causation/ correlation factors
8.Reproducibility
9. Data integrity
10.Reversibility
Fanya hiyo kubwa halafu urudi hapa na yote hayo juu.
Zats true
Alafu nachukiaga mtu anaposema amefanya research yake zen anasema amepata majibu
Kwa sababu research ni scientific method na ina-procedures zake za kifatwa
Zats true
Alafu nachukiaga mtu anaposema amefanya research yake zen anasema amepata majibu
Kwa sababu research ni scientific method na ina-procedures zake za kifatwa
Hapa sikiliza tu uamuzi ni wako binafsiNilikuwa na mpango wa kununua moja, lakini baada ya uzi huu nimeghairi.
_Nakubaliana na we mm mwenyew nshafanya utafiti wa hao wadada wapenda kuvaa madela nimewasoma sifa. ndo hzoo hzooo!_8. Asilimia kubwa wanajichubua, unakuta knuckles nyeusii tiii ila sura "nyeupe".
9. Wengi ni wazaramo, wenyeji wa Tanga, in short wa mwambao etc!
10. Waswahili, ustaarab zero!
11. Wengi ni failure wa shule TENA la saba au ni drop out wa sekondari.
12. Kitandani wengi wako poa.
Mbona nyie msiovaa hayo madera ndio wenye tabia za hovyo,yaani kabisa umekaa ukatafakari ukaona uje na huu upuuzi unaouita utafiti,dhahiri unaonekana hizo ulizoziorodhesha ndio tabia zako,kuna usemi unaosema simple mind discuss people ,na wewe ndio simple mindkwa sababu umekuja hapa na kujadili watu,tafuta shughuli ingine itakayokuongezea maarifa badala ya kuja hapa na kujadili watu,sijui waswahili ,wazaramo au watu wa Tanga au pwani No,tafuta ishu ingine ya maana kwani unajiangusha wewe siyo great thinker,Great thinker hawezi kuja na petty ishu ya kidaku kama hii,subiri wadaku wenzako wakusupport lakini siyo great thinker hawezi kujadili udaku.
Nimejaribu kufanya research ndogo ya mademu wanaopenda kuvaa madera. Matokeo niliyoyapata:
1. Wanapenda taarabu na vigodoro, kwenye rusharoho huko balaa
2. Waongo, wambeya na washinda vibarazani
3. Wengi hawajaolewa
4. Ni kero kwa wanaume yaani ukikutana nae tu anaomba umnunulie chipsi
5. Ni mabingwa wa kuvuruga ndoa za watu na wanapenda kutembea na waume za watu
6. Wana matusi na hawaangalii wakati wala eneo alilopo. Matusi anayoporomosha hata kwa mtoto wake utafikiri alibakwa
7. .... ongezea
Naona kakugusa pabaya, mbona umewaka hivyo, na wewe mtinga Derah nini na mitaa ya kigodoro?! Pole
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sio kweli kwamba wote wavaao wana tabia hizo.
Dera zinavaliwa hata na mama zetu huku bara na zipo kiheshima kabisa
HahahaSiku hizi hawachomeki kwenye pichu ila wanaivutia kwa mbele ili chura aonekane vizuri si unajua hawavai pichu kwani pichu inapunguza mtetemo!
Tusifukuzane jamani [emoji1]Waswahili/wazaramo ndio wenye mji wa dar es salaam,kama hupendi tamaduni zao,Rudi kwenu ulikotoka.
Umeandika "Waliosema Wa TZ ni nyumbu", hujatumia neon "research".Ndicho ulichokariri chuoni miaka yote hiyo? Kwahiyo na waliosema wa tz ni nyumbu walitumia hizo? Hapo katoa mtazamo wake na hujampa fund afanye hiyo research in a profesional way. Sipendi watu wanaojiona superior ku criticize wenzao. Inamaana kama mtoa mada hakusoma kama wewe hana ruhusa ya kutoa mada ya utafiti wake?
Kasema kafanya reseach ndogo, wengine tunataka kubwa.We mzee unatuchosha sasa.. Hayo yote kwani mtoa mada anafanya research ya kupata phd?