Mr Hero
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 5,540
- 7,464
Nani kakuambia dera ni vazi la wanawake wasiojiheshimu?Wanawake wanaojiheshimu hawavai madera
Nani kakuambia dera ni vazi la wanawake wasiojiheshimu?Wanawake wanaojiheshimu hawavai madera
Kweli fanya uchunguziNani kakuambia dera ni vazi la wanawake wasiojiheshimu?
Wewe utakua hujamuelewa.. unaelewa maana ya utafiti? Ina maana alchukua sampo Na yeye hajasema wote ispokua n wengi wao...Mtoa mada na wanaoshabikia uzi wote akili zenu sawa.. Haiwezi uka stereotype watu wote wanaovaa hivo wanatabia hizo. Ni sahihi mi nikisema mna akili sawa na njiwa. Nawajua wengi wanaovaa vazi ilo na hawana ata chembe ya hayo mliosema. Wazazibwenu pia wanazivaa! Je nao wanatabia hizo. Tafakari kabla hujaleta utumbo wako huku
>Wanajitongozesha wenyeweNimejaribu kufanya research ndogo ya mademu wanaopenda kuvaa madera. Matokeo niliyoyapata:
1. Wanapenda taarabu na vigodoro, kwenye rusharoho huko balaa
2. Waongo, wambeya na washinda vibarazani
3. Wengi hawajaolewa
4. Ni kero kwa wanaume yaani ukikutana nae tu anaomba umnunulie chipsi
5. Ni mabingwa wa kuvuruga ndoa za watu na wanapenda kutembea na waume za watu
6. Wana matusi na hawaangalii wakati wala eneo alilopo. Matusi anayoporomosha hata kwa mtoto wake utafikiri alibakwa
7. .... ongezea
Tatizo umefanya research ndogo. Huwa sikubali mambo ya research ndogo mpaka kubwa zithibitishe.Nimejaribu kufanya research ndogo ya mademu wanaopenda kuvaa madera. Matokeo niliyoyapata:
1. Wanapenda taarabu na vigodoro, kwenye rusharoho huko balaa
2. Waongo, wambeya na washinda vibarazani
3. Wengi hawajaolewa
4. Ni kero kwa wanaume yaani ukikutana nae tu anaomba umnunulie chipsi
5. Ni mabingwa wa kuvuruga ndoa za watu na wanapenda kutembea na waume za watu
6. Wana matusi na hawaangalii wakati wala eneo alilopo. Matusi anayoporomosha hata kwa mtoto wake utafikiri alibakwa
7. .... ongezea
Ha ha ha ha! Kwenye knucles kwenye mikunjo ya vidole na nundu miguuni unazikuta nyeusiiii tiii8. Asilimia kubwa wanajichubua, unakuta knuckles nyeusii tiii ila sura "nyeupe".
9. Wengi ni wazaramo, wenyeji wa Tanga, in short wa mwambao etc!
10. Waswahili, ustaarab zero!
11. Wengi ni failure wa shule TENA la saba.
wana matako makubwaNimejaribu kufanya research ndogo ya mademu wanaopenda kuvaa madera. Matokeo niliyoyapata:
1. Wanapenda taarabu na vigodoro, kwenye rusharoho huko balaa
2. Waongo, wambeya na washinda vibarazani
3. Wengi hawajaolewa
4. Ni kero kwa wanaume yaani ukikutana nae tu anaomba umnunulie chipsi
5. Ni mabingwa wa kuvuruga ndoa za watu na wanapenda kutembea na waume za watu
6. Wana matusi na hawaangalii wakati wala eneo alilopo. Matusi anayoporomosha hata kwa mtoto wake utafikiri alibakwa
7. .... ongezea
Inawezekana.. Labda atupe basis ya research yakeWewe utakua hujamuelewa.. unaelewa maana ya utafiti? Ina maana alchukua sampo Na yeye hajasema wote ispokua n wengi wao...
Ha ha ha.. nmeipenda sana!Acha Unaaa (kwa sauti ya mwenyekiti wa parole taifa)
Utakua hujamuelewa... yeye hajasema n wote wanaovaa madera wako hvo... ispokuwa wengi wao.Kwenda huko na research yako isiyo na kichwa wala miguu wapo wanaovaa hayo madera na niwastaarabu tunawajua