Daaah mbona inaitaji moyo kama ndo hivoDuuuuu,kule kwetu unatakiwa usiwe na wivu kabsaa,yaan hainaga ushemeji,si tunakulanaga tu.
Cha msingi,fatilia tabia ya familia yao,ukiona familia haina msimamo ktk masuala ya mahusiano bas ujue hata binti nae atakuwa hajatulia
Akili zetu wanyiramba bwana,tunawezanaga sisi mwenyewe tu
Ndugu wana jamvi niwasalimu katika jina la yeye aliyetuumba.Mwenzenu nimeangushia moyo wangu kwa kabinti kamoja cha huko mkoani singida,kutoka kabila la wanyiramba. Sasa kabla sijachukua maamuzi yakwenda kujitambulisha kwao ningependa kujua tabia zao za asili,ili mbeleni niseje anza mwaga machozi mwanaume mimi.
Tuma picha yake tena mkiwa pamoja.ili tuamini kama kweli we muoaji.halafu ntakupa ushauri.bila picha zenu na ushauri hakuna.Ndugu wana jamvi niwasalimu katika jina la yeye aliyetuumba.Mwenzenu nimeangushia moyo wangu kwa kabinti kamoja cha huko mkoani singida,kutoka kabila la wanyiramba. Sasa kabla sijachukua maamuzi yakwenda kujitambulisha kwao ningependa kujua tabia zao za asili,ili mbeleni niseje anza mwaga machozi mwanaume mimi.
Daaah...Wanajamba sana
Mh sasa nioe tu hata kama sijui we! Sio nioe halafu nikitoka mwanaume mwenzangu snakuja kukagua mzingo je kesho mtoto akizaliwa usishangae masikio kama ya baba masumbuko jirani yako .aaghh we.Deal na demu wako sio na kabila la demu wako wewe mlugaluga!
Au hujui siku hizi watu wengine hata makabila yao hawajui?sidhani kama wanyiramba ni watu ovyo la msingi deal na personality ya mtu sio asili ya mtu ,wengine tumeoa familia za vigagu na maisha mswano tu!