Sifa za wanaume weupe

Sifa za wanaume weupe

Kwetu huku ndio wengi mno ..ila wanachanja kuni na wababe mpaka wanaletewa mamluki toka Tangagiza na vifaru ..wakati wao hawana hata bunduki..!
 
Hao wanaoshindwa kuvunja hata biskuti?.....nachojua wanaume wote wana asili ya kupambana, lakini nikiangazia hawa wenzetu weupe naona kwa mbali sana. Kwanza huhofia rangi yao, pili hujiona classic, hawa huwezi kuwakuta kwenye kazi za 'shurba' labda kazi zihusuzo table negotiation. Kifupi ni watu soft, sana. Bora mie na uniga wangu nazama kila site, kusaka njuruku. Hahahahaha.
 
Nabii Tito kakiri hadharani alikuwa 'anagongwa'...

Siku hizi kaacha 'huo mchezo', ameacha pia kujichubua.

Yaani hataki tena kuwa 'mweupe'... anataka kuwa mweusi km wanaume wengine!
 
Zote nimezikubali ila kwa hiyo namba tano mimi naukataa weupe itakua nimejichubua tu
 
Hizi sifa zimezidi mimi ni white na ninapiga tungi dunia. Halafu kuhusu ugomvi haiwezekani unizingue nikae kimya wewe, hata uwe na mwili wa kukumbatia mbuyu ngumi zitapigwa tu ila kuhusu kutongoza ni kweli sitokei mdada/mmama/mbibi mara mbili.
Wewe ni Mimi kabisa!
 
Mie wananiboa kwenye unyanya nyanya jaman...khaa..wee kibulb kikipasuka ashakimbilia nje...akichomwa ka mwiba shoga utasumbuliwa ww.....week zima mwekundu😂😂😂😂...acheni hizo
ebu tulia
 
Yaani nikisema hapa sijui itakuwaje, ukimpa date ya kwanza ukafika ukaanza kudengua za sitaki nataka anakuacha anakupa na pole juuuu!!!! Mtu mzima unajua hapa hamna kitu

Mwanaune mweupe namuona she mwenzangu tu,,
ha ha ha ha ushapokea Dozi yako wewe kutwa mara 3....Hao ndio wanaume weupe haooooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom