Sifa za wanaume weupe

Sifa za wanaume weupe

yaani kati ya vitu sipendi ni kuitwa white japo mweupe....ukitaka hata nisikujibu niite white

ufala sana
 
Wanaume weupe hugombania vipodozi na dada zao
 
Kusema ukweli hawa ndio wanaume wanaobeba sifa za wale wa naume wa dar. Ni weupe.

1,wanapend kuvaa bukta, na malapa meupe kwamba wanataka ku relax hawa wenzetu.

2,hutembea kana kwamba wamechomwa miba katka uvungu wa nyayo zao, huku mikono ikitanuliwa kidogo.

3,hawatoi gari parking mpaka awepo mtu wa kumuongoza nyuma, la sivyo anagonga.

4,hawapendi simu zingine zaidi ya iphones hasa nyeupe.

5,mara nyingi huwa wanatafuna big g

6,hupenda kuongea au kuchart na simu wakiwa wanatembe.

7,ukimsimamisha,lazima aitizame screen ya simu yake kwanza huku anakusikiliza

 
Wewe unataka tu kunivuruga,, usipende kuwasema wanaume weusi yaan utaniudhi kabisa hahahahaha
 
Hapa naongelea wanaume weupe kwa ukanda wetu wa Africa ambao wana weupe wa kurithi toka kwa wazazi either ni mama au baba au hata babu na bibi huko ila tunachojua ni Mweupe au wale wanaume ambao hawezi kumaliza siku hajaitwa WHITE(waitiii), yani weupe ndio identity yake.
SIO WAZUNGU.

Ukikuta naitwa SAM utaskia nenda kwa Sam yule mweupe...au nenda kwa Davie white nk nk.

1.Mwanaume mweupe sio mchafu so kuanzia leo kama unajijua ni mweupe halafu mchafu mchafu,Jitathmini.

2.Mwanaume mweupe hapigani,aseee mtoto wakiume ukishajiona wewe mweupe Kila kitu unatakiwa umwachie Mungu,kukunjana kunjana sio wala nini,hayo mambo waachieni ma Black.. ubabe wa wanaume weupe upo kwenye Wallet yake. 💪

3.Mwanaume weupe Akitongoza halazimishi..anaongea mara Moja (nakupenda) Demu hakuelewi unapita vile,haina kum bembeleza hiyo,wewe unaefatilia Jibu lako hadi leo hujapewa Kama ni mweupe utakua umejichubua Hukuzaliwa hivyo.

4.Mwanaume mweupe Hasuki,havai hereni,havai mlegezo wewe kama unafanya hivyo vitu utakua weupe wako ni wa kwenye makopo,chama cha wanaume weupe hawana hayo matabia.

5.Mwanaume mweupe Ana mpenzi m1 tu,kuchanganya changanya wapenzi mara leo huyu kesho yule,hayo matabia waachieni ma black.

6.Mwanaume mweupe rafiki ake anawapenda wazazi wake,ukijiona we mweupe halafu hauna time na wazazi wako Jichunguze rangi yako haina muda utakua black.

7.Mwanaume mweupe havuti sigara au kunywa Pombe kabisa...na ikitokea anataka kufanya hivyo anafanya hivyo vitu ndani kwake maana Friji limejaa muda wote na kuvuta anavuta mahali akimaliza anatulia zake..Kulewa mpk kuyumba yumba kunuka sigara waachieni ma Blacks

8.Mwanaume mweupe ananukia 24/7 ndani ya mwaka mzima

9.Mwanaume mweupe ni Smart 24/7 ndani ya mwaka mzima

10.Mwanaume mweupe Habip,hatumi tafadhali nipigie yeye ni anapiga tuuu na txt moja moja.

11.Mwanaume mweupe ni mtu wa Ibada anamjua Muumba wake na anajua ibada ipasavyo.

12.Mwanaume mweupe anapenda watoto na watoto humpenda..hamnaga mtoto anakataa kubebwa na MWANAUME MWEUPE.

13.Mwanaume mweupe Hafugi mandevu kama Rick Ross,mwanaume mweupe anachonga timberland linashuka safiii yani mtoto wa kiume mweupe na ndevu hapana bwana Ndevuuu waachieni ma Black huko wapambane na Midevu yao.

14.Mwanaume mweupe ni Handsome acha kabisa...
ITAENDELEA toleo lijalo.....
Mwansume ajisifiaye weupe ana gene za kike.
 
Mie wananiboa kwenye unyanya nyanya jaman...khaa..wee kibulb kikipasuka ashakimbilia nje...akichomwa ka mwiba shoga utasumbuliwa ww.....week zima mwekundu...acheni hizo
Hahahahahahah yaan nimecheka jamani

Aisee sijawahi vutiwa na mwanaume mweupe hata kwa bahati mbaya
 
Kusema ukweli hawa ndio wanaume wanaobeba sifa za wale wa naume wa dar. Ni weupe.

1,wanapend kuvaa bukta, na malapa meupe kwamba wanataka ku relax hawa wenzetu.

2,hutembea kana kwamba wamechomwa miba katka uvungu wa nyayo zao, huku mikono ikitanuliwa kidogo.

3,hawatoi gari parking mpaka awepo mtu wa kumuongoza nyuma, la sivyo anagonga.

4,hawapendi simu zingine zaidi ya iphones hasa nyeupe.

5,mara nyingi huwa wanatafuna big g

6,hupenda kuongea au kuchart na simu wakiwa wanatembe.

7,ukimsimamisha,lazima aitizame screen ya simu yake kwanza huku anakusikiliza

Ha ha haaaa
 
mkorinto umeua jombii, wanazingua sana hao machalii, yaan Huyo umwambie asogeze hata gunia la mpunga kweli, unaweza mzaba hata kibao 😀😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom