Sifa za mwanume wa kweli

Sifa za mwanume wa kweli

Wachache hutambua hayo, wengi hujiona vidume hawapaswi kua chini hata wakikosea
Na hapo ndipo wanapokosea. Ila twendw nao taratibu huenda wakaja kulitambua hilo kwamba kwenye mahusiano kuna kuombana misamaha na pia kuna kujishusha hasa pale mmoja akoseapo.
 
Na hapo ndipo wanapokosea. Ila twendw nao taratibu huenda wakaja kulitambua hilo kwamba kwenye mahusiano kuna kuombana misamaha na pia kuna kujishusha hasa pale mmoja akoseapo.
Samahani, swali la nje ya mada,umewahi kua na mtu wa aina hiyo??? Uliweza kwenda naye taratibu na kwa umbali gani hasa? Nawaza hapa mtu anakukosea haombi msamaha anajisahaulisha unaenda naye tu moyoni unajisikiaje?? Halaf bora ashtuke amefanya mistake habari hapati unafanyaje???
 
Unawafundisha tabia mbaya aisee!!
Siwafundishi tabia mbaya rafiki. Huo ndio ukweli mahusiano mazuri ni yale ya kujaliana hasa mwanaume amjali mwanamke katika mahitaji yake mbalimbali.

Sasa rafiki unataka mahusiano yasiyo na mbolea kusaidiana ndio mbolea yenyewe hiyo rafiki.
 
Back
Top Bottom