maliyamtu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2017
- 2,137
- 3,876
Yani kwenye hili La kuomba msamaha mhhNa hapo ndipo wanapokosea. Ila twendw nao taratibu huenda wakaja kulitambua hilo kwamba kwenye mahusiano kuna kuombana misamaha na pia kuna kujishusha hasa pale mmoja akoseapo.