Sifa za mwanume wa kweli

Sifa za mwanume wa kweli

Dah... Hata akiwa na sifa zote hizo....kama haishi Dar...ni sifuri...
 
Me niliwah na ndio mana nikataka kujua mlifika mbali kias gani, mwanaume akikupigia sim lazima ushtuke ujiulize leo imekuaje au kuna nn, mkiongea ikafika dakika tano siku hiyo unajiona bahat imekuangukia zamani ilikua anapiga mnaongea then ghafla tu yakabadilika hapo kwenye msamaha hapo ndio shida akikuomba msamaha hana huo muda akisema yaishe kamaliza tena ni amri sio ombi, ilifikia tu hatua nikaona no sitaweza kila mtu akawa na hamsini zake maisha yakaenda.
Pole sana
 
Haya na Mwanamke wa kweli tuambie
Habari zenu wana jf leo ningependa watu ajue sifa za mwanaume halisi coz kuna mtu anajiita mwanaume ila hana sifa za kiume. Zifuatazo ni sifa za mwanaume wa kweli.
  1. Mwanaume wa kweli anakua na msismo yaani hayumbishwi
  2. Mwanaume wa kweli haongei sana yaani akiongea mara moja harudii na anaeleweka
  3. Mwanaume wa kweli lazima uwe unaishi kwako unategemewa na sio kwa wazazi kama Bado unaishi kwa wazazi usijiite mwanaume wewe unaitwa Mvulana.
  4. Mwanaume wa kweli lazima uwe na Maamuzi magumu.
  5. Mwanaume wa kweli lazima uwe ushampeleka mwanamke leba yaani uwe ushamtia mwanamke mimba uitwe baba.
  6. Mwanaume wa kweli ni mpambanaji' na hakati tamaa na hanung'uniki nung'uniki ovyo
  7. Mwanaume wa kweli hanuni
  8. Mwanaume wa kweli ni Jasiri,
ongeza na za kwako hapo sifa za mwanaume wa kweli. ukiwa na sifa karibu zote hapo wewe ndo unaitwa mwanaume je wewe unayejiita mwanaume unazo hizo sifa??.
 
Hahahaha jaman why mnakua hivo
Umuombe msamaha si ndio mwanzo wa mke kukuona kilaza. Hamjaumbwa kuwa treated fairly otherwise ni kirambasi.

Mie ex wangu flani nilimtreat fairly na kumpa nafasi sana sikuwa selfish. Mwishowe nikaanza kushangaa naambiwa we huwezi kujisimamia kila nachotaka mimi ndio tu. Ila hapo nikiamua vitu kivyangu anakuwa mtu wa criticizing kinoma noma. Malalamishi kibao.
 
Biblia takatifu inasema, Mwanaume na amuzidi mwanamke kwa kila jambo.
Pia Biblia takatifu inasema, Wanawake ni viumbe dhaifu na mwishi nao kwa akili.
Kibaologia mwanume amepewa viungo imara kuliko mwanamke na pia ana ujasiri kuliko wa mwanamke.
Hata hivyo kuna wanawake wachache ambao wana genes za kiume kwa sababu wanaota ndevu, sauti kubwa , misuli mikubwa , ujasiri n.k.
Kuwa na sifa nyingi na za hali ya juu kwa mwanaume au mwanamke ni karama za kuzaliwa nazo. huwezi kulazimisha karama, ila unatakiwa ujitambue kuwa una karama gani na uzitumie na kuziboresha ili ziwe na manufaa.
 
Umuombe msamaha si ndio mwanzo wa mke kukuona kilaza. Hamjaumbwa kuwa treated fairly otherwise ni kirambasi.

Mie ex wangu flani nilimtreat fairly na kumpa nafasi sana sikuwa selfish. Mwishowe nikaanza kushangaa naambiwa we huwezi kujisimamia kila nachotaka mimi ndio tu. Ila hapo nikiamua vitu kivyangu anakuwa mtu wa criticizing kinoma noma. Malalamishi kibao.
Hahha sasa tunatofautiana, kwanza ujue uko na mwanamke wa aina gani, kuna baadhi ya sisi ke tuko loyal na honest sana kwenu, hatusthili hayo mambo, mfanyie mtu unayeona huna mipango naye, mimi kwa upande wangu nilikua nikiona nimefanya any mistake najirud tena bas et na yeye kutaka ile sifa naweza kumuomba msamaha kuanzia usiku wa kuanzia leo hsd kesho jioni na bado asikujibu amekusamehe sometimes najiuliza kwa kosa gani bas na hapo ukute yeye ndio chanzo cha hilo kosa

Me naona mtu anapona amekosea ndio mana kukawa na neno samahani, hakuna neno la kuomba masamaha jengine zaidi ya hilo, kusema nisamehe nimekosea unapungukiwa nn sasa ikiwa msamaha huombi mtakua mnaishije humo ndani? Ujue mahusiano au ndoa zinazodumu hilo neno limetumika sana, sote tunastahili endapo pale inatokea mmoja wetu ameenda kinyume
 
Mwanaume wa ukweli anafanya kazi iliyo halali!
 
Back
Top Bottom