Sifa za mwanume wa kweli

Sifa za mwanume wa kweli

Kipindi hicho Makutupola bado RTS,
Mjombaaa mbona uliubwaga uzalendo?

Kipi kilizingua kamanda?
Ni story ndefu sana maiki, ngoja nikaushe nisije wafaidisha Raia.

But mimi huwa najitizmaa kama reserve soldier kukiwa na magumu yanaikabili nchi ya mama Tanzania... Niko timamu kusonga mbele kuitetea bongo. Naipenda sana bongo.

Let's rest this case maiki!
 
Ni story ndefu sana maiki, ngoja nikaushe nisije wafaidisha Raia.

But mimi huwa najitizmaa kama reserve soldier kukiwa na magumu yanaikabili nchi ya mama Tanzania... Niko timamu kusonga mbele kuitetea bongo. Naipenda sana bongo.

Let's rest this case maiki!
Worry not comrade!!
Ngoja tuendelee na raha za MMU
 
Habari zenu wana jf leo ningependa watu ajue sifa za mwanaume halisi coz kuna mtu anajiita mwanaume ila hana sifa za kiume. Zifuatazo ni sifa za mwanaume wa kweli.
  1. Mwanaume wa kweli anakua na msismo yaani hayumbishwi
  2. Mwanaume wa kweli haongei sana yaani akiongea mara moja harudii na anaeleweka
  3. Mwanaume wa kweli lazima uwe unaishi kwako unategemewa na sio kwa wazazi kama Bado unaishi kwa wazazi usijiite mwanaume wewe unaitwa Mvulana.
  4. Mwanaume wa kweli lazima uwe na Maamuzi magumu.
  5. Mwanaume wa kweli lazima uwe ushampeleka mwanamke leba yaani uwe ushamtia mwanamke mimba uitwe baba.
  6. Mwanaume wa kweli ni mpambanaji' na hakati tamaa na hanung'uniki nung'uniki ovyo
  7. Mwanaume wa kweli hanuni
  8. Mwanaume wa kweli ni Jasiri,
ongeza na za kwako hapo sifa za mwanaume wa kweli. ukiwa na sifa karibu zote hapo wewe ndo unaitwa mwanaume je wewe unayejiita mwanaume unazo hizo sifa??.
kwa sifa hizi Paulo makonda out???
 
Mwanaume wa kweli hasifiki kuwa na mademu zaidi ya wawili.
 
Habari zenu wana jf leo ningependa watu ajue sifa za mwanaume halisi coz kuna mtu anajiita mwanaume ila hana sifa za kiume. Zifuatazo ni sifa za mwanaume wa kweli.
  1. Mwanaume wa kweli anakua na msismo yaani hayumbishwi
  2. Mwanaume wa kweli haongei sana yaani akiongea mara moja harudii na anaeleweka
  3. Mwanaume wa kweli lazima uwe unaishi kwako unategemewa na sio kwa wazazi kama Bado unaishi kwa wazazi usijiite mwanaume wewe unaitwa Mvulana.
  4. Mwanaume wa kweli lazima uwe na Maamuzi magumu.
  5. Mwanaume wa kweli lazima uwe ushampeleka mwanamke leba yaani uwe ushamtia mwanamke mimba uitwe baba.
  6. Mwanaume wa kweli ni mpambanaji' na hakati tamaa na hanung'uniki nung'uniki ovyo
  7. Mwanaume wa kweli hanuni
  8. Mwanaume wa kweli ni Jasiri,
ongeza na za kwako hapo sifa za mwanaume wa kweli. ukiwa na sifa karibu zote hapo wewe ndo unaitwa mwanaume je wewe unayejiita mwanaume unazo hizo sifa??.
Mwanaume wa kweli hana govi
 
Inapendeza sana...

Ukishazaliwa mwanaume ni mwiko kabisa, kusubiri mpaka upewe, wewe chukua tu...

Usitegemee huruma kutoka kwa watu, wewe fanya tu...

Usipende kusifiwa, wewe tenda tu...

Usingoje kuletewa, kifuate/vifuate...


Cc: mahondaw
Umetisha bro!
 
Back
Top Bottom