Ujinga sipendi na nidhamu ya uoga ni kitu nilinyimwayani mtu analilia kuheshimiwa ila kichwani boksi eboooo
na wakija tena watayaoga.

Hakyanani?are you serious? Jeshi kubwa? U can't be serious! Mbali na uchache wa wanaume kupitia sensa lakini kwa idadi ile iliyotolewa nusu yake ndo wanaume wengine wanapumuliwa na wanaume
![]()

Hem nishike mkono mkuu unipeleke kwa mangi wacha roho mbaya.Mimi na jeshi langu tunakuzawadia makreti ya soda mwaka mzimausikonde
Tungekuwa tunaongea kwa hoja tungeendeleahabari ndo hiyo,jifunze kwa yanayokuhusu...kushughulika na yasiyokuongezea kula kwa MTU anayejiita mwanaume ni aibu
![]()
Mimba ubebe wewe afu uje kunisumbua mimiKama hamzitaki mimba tumieni kinga. Huwa sielewi kauli ya kutegeshewa mimba ilhali mtu kala kavu akiambiwa habari za mimba anang'aka kategeshewa.
We call it tit4tat, Lkn mara nyingi huwa inakula kwenu na mnaishia kuwa heartbroken 😔 na singlemama
Twende rafki anguHem nishike mkono mkuu unipeleke kwa mangi wacha roho mbaya.
Mimba ubebe wewe afu uje kunisumbua mimi

mwee maisha haya. Pole zao watakaojichanganya, hamna kitu hapo.Be a man

Mvulana huyo, hakuna mwanaume mwenye akili ya namna hiyo.







Yaan daa,kweli wanawake ni wengi kuliko wanaume.DaaUkiutoaa ushogaa ambao wengi wana ufanyaa kwa kujifichaa, hizo sifa nyingne zotee wanazo, na wako very proud.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo hvyoo yaan.Yaan daa,kweli wanawake ni wengi kuliko wanaume.Daa





