cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Nisamehe,u know that I love you....nilikorogwa ilibidi nichanike tu.TeAmo
![]()



umewachanaaa makavuuu dear.Nisamehe,u know that I love you....nilikorogwa ilibidi nichanike tu.TeAmo
![]()



umewachanaaa makavuuu dear.Wewe tatizo haulewekagi upo upande upi ndio maana haina tatizo na kutokuwa mwanaume kamili.Sisi mabahili tunakubali kuwa siyo wanaume kamili na tunaupenda ubahili wetu na hela zetu.
Kikubwa tukipata genye tunapeleka moto tu basi. Hilo la kutokua wanaume kamili hatuna tatizo nalo.
Tatizo la wengi wenu hamtakagi kukosolewa. Mnaamini mpo sahihi kwa kila kitu ati kwa sababu mna miliki mikia.Kibishi tu hichi kidada
Nyang'anyang'akwishaaa kabisaaaa.
Ubahili ni sifa ya kuwa tajiriMwanaume kamili hatakiwi kuwa BAHILI

We Eroni acha uongo!😂😂.....Ukiwa bahili hupati pesa pata MTU wa kumuhonga pesa uone utavyopata nguvu ya kutafuta pesaUbahili ni sifa ya kuwa tajiri![]()
Kwani wakitumia kinga huwa hawazini?Kama hamzitaki mimba tumieni kinga. Huwa sielewi kauli ya kutegeshewa mimba ilhali mtu kala kavu akiambiwa habari za mimba anang'aka kategeshewa.
Manaake wewe sio mwaume pro max plusMbona karibia hizo sifa zote sasa zinanihusu mimi!!
Huu uzi ni wa kujifurahisha tu. Ila baadhi yenu mnauchukulia kwa uzito sana.Manaake wewe sio mwaume pro max plus