Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 54,942
- 53,991
Nilikua natoa tu mfanoSema kweli
Nilikua natoa tu mfanoSema kweli
Mmh huu mfano wakoNilikua natoa tu mfano
Sio wako loveMmh huu mfano wako
Jamaa anashindwa kutofautisha kati ya single mother na demu freshLabda point ya kwanza tu lakini hizo zilizobaki zinafanywa na mwanamke mhuni ndiye anayeweza kuwa na ujasiri wa kuyafanya hayo kabla ya kuolewa.
Binti aliyeleleta ktk misingi ya maadili mema hathubutu kuyafanya hayo.
ha ha ha wenye hizo sifa hapo juu ndio wife materialKupata wife material siyo mtihani ikiwa wewe pia ni husband material, huwezi pata wife material ikiwa si husband material?
Ha ha ha ha unakuta kila siku ni kutafuta upatanisho tuKosea vitu vingine lakini usikosee kuoa ama kuolewa...
Kuna wananaume wameoa wanawake waliopaswa kuolewa na majambazi...
Kuna wanawake wameolewa na wanaume waliopaswa kuoa askari...
ha ha ha kwa nini tendo unafanya kabla ya kuolewa?Hizo kazi zinafanywa ukiolewa.
ha ha ha yale mambo ya gizani huwa mnaanza kuyafanya kabla au baada ya ndoa?Jamaa anashindwa kutofautisha kati ya single mother na demu fresh
Ha ha ha ha haNi single mother tuu anaweza kufanya hayo yote, ukiwa na demu fresh anakufanyia hayo yote situka na ukimuoa hivohivo usishangae akabeba mimba fake