Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,093
- 124,633
Mimi hata kimoja sinaSina hata viwili[emoji849]
Mimi hata kimoja sinaSina hata viwili[emoji849]
Binamu ya uchumba tenahayo huwa yanatakiwa kufanywa na yule ambaye ushamvisha pete ya uchumba.
Tutajioa😂Mimi hata kimoja sina
[emoji23][emoji23][emoji23] hatari sanaTutajioa[emoji23]
Hatuwezi kuwachezea maana nyie ni viumbe pekee mlio ongea na shetani ana kwa ana na Mungu alisha tuasa tuishi na nyie kwa akili!!Usituchezee sisi
Ha ha ha mkuu tuwekee tuweze kupata elimuSiku hizi kila mtu ni Expert wa kujua vigezo gani vya wife material inabidi watokee wataalamu wengine wa kutuletea vigezo vya Husband material
Ha ha ha mkuu tuwekee tuweze kupata elimu
Pole..usipojielewa mwenyewe hata wengine hawawez kukuelewa.We yr sifa hawazitangazi, zinajitangaza zenyewe.
Ki vipi mkuu?Hii mitandao inafanya wengine umri wa kuoa utupite
Sasa sifa zote unakuta wako hana hata mojaKi vipi mkuu?
Sema kweliSasa sifa zote unakuta wako hana hata moja
Kupata wife material siyo mtihani ikiwa wewe pia ni husband material, huwezi pata wife material ikiwa si husband material?ha ha ha kupata 'wife material' ni mtihani mgumu sana
Karibu ndoaniHizo kazi zinafanywa ukiolewa.
Asante sanaaKaribu ndoani