ha ha ha ha naona mkuu umetafuta naamna ya kukwepa swali..
Sijakwepa swali mkuu
Kwa hali ya kawaida tu hao watano ulimanisha niwataje kivipi na hizi ID tusizofahamiana
ha ha ha ha naona mkuu umetafuta naamna ya kukwepa swali..
ha ha ha ha si lazima wote waoleweHaha Equation x ndo kakukosa hivyo mkuu
Kama hujanioa sahau mm kulala kwako mbaka asubuhi eti nadeki nafua napika sasa si ndi tutaanza na kuzaa bila ndoa. Yaan kwanamme ambae hajakuoa usimfanyie mambo kama mme wa ndoa.Vitu hivi akivifanya mpenzi wako wa kike jua ni wife material:-
Haya,mnaotafuta wake kazi kwenu...
- Anapokuja kukutembelea anakuwa amevaa nguo za heshima
- Akija kwako anaweza kukuletea vitu vya kupika,vya kutafuna tafuna n.k
- Akija kwako atafanya kazi mbalimbali mfano kufua,kupiga deki,kuosha vyombo,kukupikia n.k
- Akipika chakula anakuandalia mezani na anakukaribisha ule.
- Kama atalala kwako,ataamka asubuhi na mapema na atafanya usafi,atapika chai,atakuandalia maji ya kuoga n.k
- Mkiwa katika maongezi kwa asilimia kubwa atakuwa anaongea mambo ya msingi kuhusu maisha yenu ya baadaye mfano watoto,maendeleo,biashara n.k
- Pia anakuwa ni mtu asiyependa kutumia fedha zako hovyo atajitahidi kubana matumizi.
- Kila unapomhitaji anaitikia wito wako
- Anaonyesha unyenyekevu anapokuwa na wewe
ha ha ha wengi ni 'fake'Sijakwepa swali mkuu
Kwa hali ya kawaida tu hao watano ulimanisha niwataje kivipi na hizi ID tusizofahamiana
ha ha ha wanaoolewa siku hizi ni wachache mkuu;usipokubali kuingia kwenye mchakato wa ushindani,jiandae kuwa single M.Kama hujanioa sahau mm kulala kwako mbaka asubuhi eti nadeki nafua napika sasa si ndi tutaanza na kuzaa bila ndoa. Yaan kwanamme ambae hajakuoa usimfanyie mambo kama mme wa ndoa.
Siyo kazi kubwa kama unavyofikiria mkuu, kila mwanamke ana sifa ya kuwa wife ni wewe tu na quality zako unayemuona hafai kwako kwa mwingine nafaa sana tuha ha ha kupata 'wife material' ni mtihani mgumu sana
Niko smart na life angu..mwanaume ataetoka namm afu asiwaze ndoa basi hatooa milele.ha ha ha wanaoolewa siku hizi ni wachache mkuu;usipokubali kuingia kwenye mchakato wa ushindani,jiandae kuwa single M.
Malizia na Na Equation xha ha ha ha si lazima wote waolewe
Migogoro ya kwenye ndoa inasababishwa na kukosea kuoa mwanamke mwenye sifa tajwa.Siyo kazi kubwa kama unavyofikiria mkuu, kila mwanamke ana sifa ya kuwa wife ni wewe tu na quality zako unayemuona hafai kwako kwa mwingine nafaa sana tu
ha ha ha umri ukisogea utajua kwa nini kuna single M. mkuu.Niko smart na life angu..mwanaume ataetoka namm afu asiwaze ndoa basi hatooa milele.
Yaani ukifuata hizo sifa hapo juu,Mungu anaweza kukuepusha usioe shetaniMalizia na Na Equation x
Kanikosa kabisa na wote wa type yakeHaha Equation x ndo kakukosa hivyo mkuu
WoiiiYaani ukifuata hizo sifa hapo juu,Mungu anaweza kukuepusha usioe shetani
Mkuu vipi,mbona umeshtuka!Woiii
ha ha ha jitahidi uzifuate ili uje uitwe mrs...Kanikosa kabisa na wote wa type yake
😂😂
Umepewa na nani hizo akili?Sawa mkuu,hayo ni mafundisho tu yasiyokuwa na uthibitisho;tumepewa akili ili tuzitumie katika kupata wenzi wema pamoja na kumudu maisha yetu hapa duniani.
Ni swali gumu sana mkuu,ni sawa na kujiuliza, ni kitu gani kinafanya ndege ipae angani wakati imebeba vifaa vizito kama vifaru n.kUmepewa na nani hizo akili?
Sijui yupo wapi lakini hawezi kukosekana
We yr sifa hawazitangazi, zinajitangaza zenyewe.Niko smart na life angu..mwanaume ataetoka namm afu asiwaze ndoa basi hatooa milele.