Akiwa na sifa zote hzo utakutaVitu hivi akivifanya mpenzi wako wa kike jua ni wife material:-
Haya,mnaotafuta wake kazi kwenu...
- Anapokuja kukutembelea anakuwa amevaa nguo za heshima
- Akija kwako anaweza kukuletea vitu vya kupika,vya kutafuna tafuna n.k
- Akija kwako atafanya kazi mbalimbali mfano kufua,kupiga deki,kuosha vyombo,kukupikia n.k
- Akipika chakula anakuandalia mezani na anakukaribisha ule.
- Kama atalala kwako,ataamka asubuhi na mapema na atafanya usafi,atapika chai,atakuandalia maji ya kuoga n.k
- Mkiwa katika maongezi kwa asilimia kubwa atakuwa anaongea mambo ya msingi kuhusu maisha yenu ya baadaye mfano watoto,maendeleo,biashara n.k
- Pia anakuwa ni mtu asiyependa kutumia fedha zako hovyo atajitahidi kubana matumizi.
- Kila unapomhitaji anaitikia wito wako
- Anaonyesha unyenyekevu anapokuwa na wewe
ha ha ha mapenzi ni hisia mkuu.......unaweza kumlea mtoto wako katika misingi mizuri lakini mwisho wa siku anaenda kulala nje kwa mtu wa ajabu ajabu.Labda point ya kwanza tu lakini hizo zilizobaki zinafanywa na mwanamke mhuni ndiye anayeweza kuwa na ujasiri wa kuyafanya hayo kabla ya kuolewa.
Binti aliyeleleta ktk misingi ya maadili mema hathubutu kuyafanya hayo.
ha ha ha haAmina sana mkuu,ipo sahihi kabisa more than 100%,Ifikie hatua wadada wajitambue na hizo point zilizobaki hata muhuni anaweza fanya tu
Unajua Mungu hakatazi pale yanapofanyika kwa usahihi ndo maana tupo kuzaliana kwa utaratibu sio kuchukuana chukuana tu,Ndo !maana unaweza chukua mtu kumbe sio. Sahihi kwako Mwisho wa siku unajuta,ili nisijute basi Mungu nitampa nafasi anichagulie wa kufanana nae kuepukaNakubaliana na wewe,imani umteka mtu;kwahiyo ukitumia njia hiyo kumuaminisha mwenza wako ni sawa na kumbaka kiimani ili mambo ya kidunia asiyawaze.
Yuko wapi mwenye nazo nimuoe kesho tu.Sifa wanazo lakini hamuoi
Nitajie sifa ambazo ulizitekeleza lakini hukufanikiwa kupata ndoaHahahahah kumbe tupo wengi
jamani joanahSifa wanazo lakini hamuoi
Yuko wapi mwenye nazo nimuoe kesho tu.
ha ha ha mkuu unayosema yanatoka moyoni kweli?hayo huwa yanatakiwa kufanywa na yule ambaye ushamvisha pete ya uchumba.
Nina povu lako,sijui nilitoe hapa hapa ama nikwambie kwa simu 🤔jamani joanah
Wataje angalau watano tuSifa wanazo lakini hamuoi
nimwagie chemba usije lowesha wasio husikaNina povu lako,sijui nilitoe hapa hapa ama nikwambie kwa simu 🤔
ha ha ha ina maana mpaka unaanzisha uhusiano na mtu,maana yake kuna kitu kilikuvutia mwanzoni.Akiwa na sifa zote hzo utakuta
1- hana tako
2- sura na figure ni pentagon
#hakuna_aliekamilika
Mkuu..hii comment uko serious kweli?Wataje angalau watano tu
Hata kama unamshirikisha Mungu,jitihada zako binafsi ni muhimu zaidi.Unajua Mungu hakatazi pale yanapofanyika kwa usahihi ndo maana tupo kuzaliana kwa utaratibu sio kuchukuana chukuana tu,Ndo !maana unaweza chukua mtu kumbe sio. Sahihi kwako Mwisho wa siku unajuta,ili nisijute basi Mungu nitampa nafasi anichagulie wa kufanana nae kuepuka
Kuongezeka single Mother
Watoto waliokosa malezi ya wazazi wote wawili
Na kuepuka hatari nyingi kipindi mnaachana
Wengi kwa sasa hivi hawana hizo sifa;wametanguliza ela kwanza.Sijui yupo wapi lakini hawezi kukosekana
Nakupigia sa hivinimwagie chemba usije lowesha wasio husika
ha ha ha ha naona mkuu umetafuta naamna ya kukwepa swali..Mkuu..hii comment uko serious kweli?
Hao watano nitakaowataja utakuwa unawajua kweli?
Haha Equation x ndo kakukosa hivyo mkuuSina hata viwili[emoji849]