Sifa za mwanamke wa kuoa

Sifa za mwanamke wa kuoa

Vitu hivi akivifanya mpenzi wako wa kike jua ni wife material:-
  • Anapokuja kukutembelea anakuwa amevaa nguo za heshima
  • Akija kwako anaweza kukuletea vitu vya kupika,vya kutafuna tafuna n.k
  • Akija kwako atafanya kazi mbalimbali mfano kufua,kupiga deki,kuosha vyombo,kukupikia n.k
  • Akipika chakula anakuandalia mezani na anakukaribisha ule.
  • Kama atalala kwako,ataamka asubuhi na mapema na atafanya usafi,atapika chai,atakuandalia maji ya kuoga n.k
  • Mkiwa katika maongezi kwa asilimia kubwa atakuwa anaongea mambo ya msingi kuhusu maisha yenu ya baadaye mfano watoto,maendeleo,biashara n.k
  • Pia anakuwa ni mtu asiyependa kutumia fedha zako hovyo atajitahidi kubana matumizi.
  • Kila unapomhitaji anaitikia wito wako
  • Anaonyesha unyenyekevu anapokuwa na wewe
Haya,mnaotafuta wake kazi kwenu...
Akiwa na sifa zote hzo utakuta
1- hana tako
2- sura na figure ni pentagon
#hakuna_aliekamilika
 
Labda point ya kwanza tu lakini hizo zilizobaki zinafanywa na mwanamke mhuni ndiye anayeweza kuwa na ujasiri wa kuyafanya hayo kabla ya kuolewa.

Binti aliyeleleta ktk misingi ya maadili mema hathubutu kuyafanya hayo.
ha ha ha mapenzi ni hisia mkuu.......unaweza kumlea mtoto wako katika misingi mizuri lakini mwisho wa siku anaenda kulala nje kwa mtu wa ajabu ajabu.
 
Nakubaliana na wewe,imani umteka mtu;kwahiyo ukitumia njia hiyo kumuaminisha mwenza wako ni sawa na kumbaka kiimani ili mambo ya kidunia asiyawaze.
Unajua Mungu hakatazi pale yanapofanyika kwa usahihi ndo maana tupo kuzaliana kwa utaratibu sio kuchukuana chukuana tu,Ndo !maana unaweza chukua mtu kumbe sio. Sahihi kwako Mwisho wa siku unajuta,ili nisijute basi Mungu nitampa nafasi anichagulie wa kufanana nae kuepuka

Kuongezeka single Mother
Watoto waliokosa malezi ya wazazi wote wawili
Na kuepuka hatari nyingi kipindi mnaachana
 
Akiwa na sifa zote hzo utakuta
1- hana tako
2- sura na figure ni pentagon
#hakuna_aliekamilika
ha ha ha ina maana mpaka unaanzisha uhusiano na mtu,maana yake kuna kitu kilikuvutia mwanzoni.
 
Unajua Mungu hakatazi pale yanapofanyika kwa usahihi ndo maana tupo kuzaliana kwa utaratibu sio kuchukuana chukuana tu,Ndo !maana unaweza chukua mtu kumbe sio. Sahihi kwako Mwisho wa siku unajuta,ili nisijute basi Mungu nitampa nafasi anichagulie wa kufanana nae kuepuka

Kuongezeka single Mother
Watoto waliokosa malezi ya wazazi wote wawili
Na kuepuka hatari nyingi kipindi mnaachana
Hata kama unamshirikisha Mungu,jitihada zako binafsi ni muhimu zaidi.
 
Back
Top Bottom