Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,108
- 41,777
Kakangu aliponea chupu chupu na sasa hivi alishahama hata mkoa na kukimbia kila kitu.
Jaribuni muone hasa ukishakuwa na hela uanze kuhesabu siku. Kama huani muulize na yule jamaa wa arusha.
huu nao ni upuuzi sasa...bora nirejee kwenye siasa tukaendelee kupanga mikakati ya kumtandika Kagame.
Yewooomi, omandedeee!
NI WAzuri kinoooma hata akioana na asiye na pesa lakini baadae akaja tajirika..lazima mume auwawe...pia jiandae bi mkubwa wako kua hafiki kwako na kama akifika basi matunzo yatakua changa..inshort wanapenda kutawala mzeiyyerr so jiandae...kwa hayo..your success in life means your a few steps from your grave..!!!! overrrr...!!!!Akiolewa na mwanaume mwenye fedha, lazima atamuua... Sasa wewe chagua kama hii mbaya au nzuri, maana wengine duniani huwa wanapenda kuwawa...
uuuuuuuuwiiiiii nilitaka kujikaanga kwa mafuta yangu mwenyewe no siwezi nimeahilisha nasema sitaki tena
Ama kweli mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe.
Haya nyie endeleeni tu ila sisi tumetulia tuli na waume zetu na maisha ni bomba.
Wachangiji wengi wa hu uzi wameonesha upande hasi kwa Wamachame (hasa kwa wasio wachagga/wamachame) naomba niwaulize swali lakizushi, hivi hakuna wamama wa kimachame ambao age imesogea say 60 yrs hivi na bado wapo na waume zao na wanakauwezo kidogo?
Kiongozi let me declare that I have a thing for chagga girls. Huwa nahama tu mara binti kutoka machame, mara marangu, mara mwika, mara uru lakini sichezi mbali. Ukweli ni kuwa nawakubali sana wasichana/wanawake wa ki-chagga. Ni wazuri na pia focused on life. In short they r cute and their brains are ready, mind steady.
kama umekosa la kushauriwa si uache tu kupost thread usokua na uhakika nazo?ukweli nina miaka 25 mzaliwa na nimekulia machame kwene suala la kuua,ubinafsi na uchoyo hilo halipo machame tu bali ni tabia ama hulka ya mtu.
then nalofahamu ni wachapaji kazi na hawapendi vijiwanaume suruali a.k.a visharo.piga kazi..shugulika mtaendana
Wapo my parent 27 years of marriage not bad economically na nnawaona their love is new every day
lakanafo te
:smile-big: Tehe tehe nimechekaje malafyale.Dada zangu kupaki container ndo mpango mzima sisi tulishawajua na kuwazoea.Huenda wanalimbikiza nguvu za kwenda kwenye mihangaiko ya pesa ila cku izi naona taaatiiibu wanaanza kumuvu.Ni kweli hayo yote kama wauaji hayana ushahidi lkn NINA USHAHIDI kuwa kitandani HUWA WANA PACK GARI;wala hatingishiki baba ukiwa unakamua!
Nilikuwa nao 4 chuo kwa miaka tofauti wote wapo hivyo hivyo!
Thanks, nilitaka kujua hilo tu, wanasemaga watu, "No Research No right to speak"!my dad is 75 yrs old and this sept he will be celebrating his 38 yrs of marriage na wana watoto 7 wote wanajitegemea, maisha yao ni mazuri sana na wanapendana kama ndo wameoana leo. so huwa sijisumbui kabisa na hoja kaa hizi manake wote hawana proof na ushambenga wao.