Sifa za mwanamke wa kimachame

Sifa za mwanamke wa kimachame

Status
Not open for further replies.
sorry wadad wa kimachame kwa kusema ukwel ila nyie mmh mmh co kabisa,mnang'ata hampulizi hasa,huyo alosema

Ama kweli mti wenye matunda
ndio unaopigwa mawe.
Haya nyie endeleeni tu ila sisi
tumetulia tuli na waume zetu na
maisha ni bomba.

huyo mmeo hamjachuma bado,na najua unachosubiri,sorry

Nahc wewe utakuwa 'MPARE' nenda kaoe Kwenu..sawa.!!
 
Kakangu aliponea chupu chupu na sasa hivi alishahama hata mkoa na kukimbia kila kitu.
Jaribuni muone hasa ukishakuwa na hela uanze kuhesabu siku. Kama huani muulize na yule jamaa wa arusha.
 
Walianza na wachagga sasa wamechoka wamehamia kwa wamachame. Muda si mrefu watahamia kwa wakibosho, wamarangu, warombo et el.

Mwisho wa siku watasema mchana usiku watalala. Watu wanachapa kazi wanasonga mbele kiroho safeey.

Waiii..mbona sisi tunawapenda dada zao wa kisukuma bila kuuliza uliza...wanaonesha dalili za inferiority complex tu! sijawahi msikia mchaga akiuliza hivi wanawake wa kimakonde wakoje? wakurya je? ni huku kwetu tu... cha! lulekeny.

hahahaaa....... Mentor acha kufura banaa, dada zenu wakorofi ati tena wakiona kaka yao mambo safi wanatamani asioe ili uchumi usipotee!!!!!! Maana wanahisi bingo itahamia ukweni.

Hao ni mawifi zako tu aisee...achika uje kwangu uone dada zangu walivyo na upendo!!!
 
Waiii..mbona sisi tunawapenda dada zao wa kisukuma bila kuuliza uliza...wanaonesha dalili za inferiority complex tu! sijawahi msikia mchaga akiuliza hivi wanawake wa kimakonde wakoje? wakurya je? ni huku kwetu tu... cha! lulekeny.



Hao ni mawifi zako tu aisee...achika uje kwangu uone dada zangu walivyo na upendo!!!

hahahaaa, kumuacha itakuwa ngumu aisee, maana mnajua kukonga nyoyo.... Hao ma wifi nawapotezea tu
 
Hao wanawezwa na watani zao tu!
Nahisi mchagga vs mpare works well....
 
Hawa wakioana wenyewe kwa wenyewe lazima mwanaume ufanywe 'Bushoke' lakini wakiolewa na wanaume kutoka sehemu nyingine na ukiwa na hela lazima akumalize! Si mmesiki yule wa Arusha aliyetaka kummaliza yule mhaya? Kiboko wa wanawake wa kimachame ni jamaa wa KIbosho tu!
Sio

Mkibosho na mmachame hawaoani, ni mwiko, kwa hiyo hakuna kiboko ya mwenzake hapo! Ningependa kujua kama kuna mchaga ambaye ameolewa na mkurya? Na kama wamewahi kufanikiwa kumfanya mkurya yeyote Bushoke? I just want to know.
Kama imetokea itabidi kulazimisha intermariage kati ya wanaume wa kikurya na wanawake wa kichaga ili kupunguza ukatili dhidi ya wanawake mkoani Mara hasa Tarime.
 
Kiongozi let me declare that I have a thing for chagga girls. Huwa nahama tu mara binti kutoka machame, mara marangu, mara mwika, mara uru lakini sichezi mbali. Ukweli ni kuwa nawakubali sana wasichana/wanawake wa ki-chagga. Ni wazuri na pia focused on life. In short they r cute and their brains are ready, mind steady.

sasa kama wako na brains ready,mind steady mbona unawabadilibadili
 
sasa kama wako na brains ready,mind steady mbona unawabadilibadili

Vanmedy bwana wee tamaa tu za ujana. Unakuta ndugu na rafiki wa girlfriend wako ni bomba kuliko hata yeye halafu wanaleta ushirikiano. Ila niliacha hiyo michezo.
 
watamu jamaa asikwambie mtu, hayo mengine matamu....
 
Kwa ujumla, ni watafutaji sana wa mali. Tatizo wako tayari kufanya lolote ili kupata mali. Wanaongozwa na kauli mbiu hii 'kinu m'masaa' yaani 'k... ni mali'. Na tazama mwanamke yeyote wa Kimachame anavyoheshimu, kuilinda na kuitetea kauli mbiu hiyo.
 
sorry wadad wa kimachame kwa kusema ukwel ila nyie mmh mmh co kabisa,mnang'ata hampulizi hasa,huyo alosema

Ama kweli mti wenye matunda
ndio unaopigwa mawe.
Haya nyie endeleeni tu ila sisi
tumetulia tuli na waume zetu na
maisha ni bomba.

huyo mmeo hamjachuma bado,na najua unachosubiri,sorry

you don't know me dude!


hujalazimishwa kuoa machame mbona makabila yapo mengi?? nawashangaa mnakazi kutujadili tuuuuuuuu ukiona hivyo ujue tumewashika pabaya. kama hamtupendi why being bothered na sisi?? nashangaa jukwaa hili kazi kujadili wacaga mara wamachame hamuoni makabila mengine ya kuyajadili?? tena sasa tutaanzisha kampeni kila kyasaka anayekuja kuoa uchagani lazima aje na fungu la kuomba samahani manake mnazidi kutusemaa lkn kila siku ndoa 100 zinazoofungwa 70 zimeoa wachaga
 
you don't know me dude!


hujalazimishwa kuoa machame mbona makabila yapo mengi?? nawashangaa mnakazi kutujadili tuuuuuuuu ukiona hivyo ujue tumewashika pabaya. kama hamtupendi why being bothered na sisi?? nashangaa jukwaa hili kazi kujadili wacaga mara wamachame hamuoni makabila mengine ya kuyajadili?? tena sasa tutaanzisha kampeni kila kyasaka anayekuja kuoa uchagani lazima aje na fungu la kuomba samahani manake mnazidi kutusemaa lkn kila siku ndoa 100 zinazoofungwa 70 zimeoa wachaga
Samahani umekosea kidogo...kati ya ndoa 100 za makabila mengine 80 wameoa/kuolewa na wachaga....kisha wakiwa majukwaani nikufyatuka kama magobore...wananikera/wananiudhi/wananigadhifisha na mwisho siwapendi kweli wakere wa namna hii.
 
hiv watu wanawake wa mbokomu wakoje???

e bana kusema kweli wamejaaliwa kuwa na qualities karibu zoote anazopaswa kuwa nazo mwanamke ila tatizo ni moja tuuu.. Miguu baba miguu wamenyimwa kabsaa yaani utakuta mwanamke juu kajazia vizuuuri kabisa na sura nzuriii mweupeee lakini ukicheki chini miguu duh... majanga yaani ni myembambaaaa kama nondo vile
 
huu nao ni upuuzi sasa...bora nirejee kwenye siasa tukaendelee kupanga mikakati ya kumtandika Kagame.
 
siku ya ndo yako nunua jeneza liweke ndani kabisa, na usisahau kuandika urithi kwa watoto. maana hujui siku wala saa atakayokuja mwana wa daudi

Ha haa haaaa uwii,bulldog umenichekesha mimi
 
Atiri kabati ya mbeho; atiri pesa; atiri gari; atiri nyumba....
Habari zenu wanajamvi naomba kufahamishwa sifa za wanawake wa kimachame MAZURI YAO NA MABAYA YAO asanteni naomba kuwasilisha.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom