Sifa za mwanamke wa kimachame

Sifa za mwanamke wa kimachame

Status
Not open for further replies.
bado hajakufika

dizzo sikia mkuu wangu. Siamini tabia ya mtu necessarily inatokana na kabila. Nilichosema ni kuwa mimi nina upendeleo wa wasichana/wanawake wa ki-chagga kutokana na features zao ambazo hunipendeza mimi na vile vile tabia za baadhi yao niliokuwa nao. Haina maana wote wako hivyo. Kuna mmoja ambaye alinisaliti ambaye pia ni mchagga. Lakini haina maana wengine wote walikuwa si wazuri wa tabia, sura na maumbo kwangu kwa vigezo vyangu. Ninachokataa ni hii akili ya ku-label all machame women as gold-digging hubby slayers. Si kweli. Tamaa na hulka ya ubinafsi wanayo wanawake wa makabila yote na rangi zote. Mimi m-machame wangu alikuwa mpole tu dada wa watu katulia mpaka kaolewa bado nampenda nashikwa na donge ila ndio hivyo nilishaharibu nilipopata nafasi.
 
Ukitaka kujua hasira binti wa kimachame jaribu 0713... Patachimbika
 
acheni kugeneralize kwa hiyo kila mchina anajua kucheza kungfu?
 
Habari zenu wanajamvi naomba kufahamishwa sifa za wanawake wa kimachame MAZURI YAO NA MABAYA YAO asanteni naomba kuwasilisha.



Hawana mazuri hata kidogo, kwanza hawapendi mtu wao ni pochi tu na wako tayari kuua mume ili warithi mali. Chapa na kuawaacha hawafai kuwa wake.
 
tabia ya mtu yeyote ikiwa pamoja na wanawake wa kimachame hutokana na urithi vinasaba toka kwa wazazi (heredity) na mazingira yanayomzunguka (environment) sio jina la sehem anakotoka kias kwamb mwanamke ma singda anawezakufanana sifa na huyo huyo wa machame. tafakari mkuu
 
Ni kweli kabisa. Mie Binamu yangu alimfilisi Mchaga hadi ndugu zake wakamuua huko Morogoro. Jamaa alikuwa kila akipata ni kuleta SIKONGE. Mie mwenyewe niko mbioni kupeleka Pesa nyumbani kwao Smile. Sijali sana kama ntakufa kwani hata hivyo kweli siku moja ntakufa.

Ila kabla ya HARUSI, Mali zote zinagawanywa kiasi kwamba nikifa, basi Mke hapati NUSU YANGU, Samahani Smile.
Kaoe usukumani kwenu bana usiteletee uchuro na dada zetu...!!!!

Walianza na wachagga sasa wamechoka wamehamia kwa wamachame. Muda si mrefu watahamia kwa wakibosho, wamarangu, warombo et el.

Mwisho wa siku watasema mchana usiku watalala. Watu wanachapa kazi wanasonga mbele kiroho safeey.
 
Last edited by a moderator:
Walianza na wachagga sasa wamechoka wamehamia kwa wamachame. Muda si mrefu watahamia kwa wakibosho, wamarangu, warombo et el.

Mwisho wa siku watasema mchana usiku watalala. Watu wanachapa kazi wanasonga mbele kiroho safeey.

I like this.
 
Walianza na wachagga sasa wamechoka wamehamia kwa wamachame. Muda si mrefu watahamia kwa wakibosho, wamarangu, warombo et el.

Mwisho wa siku watasema mchana usiku watalala. Watu wanachapa kazi wanasonga mbele kiroho safeey.
Mkuu wote hao ni wachaga, machame, kibosho, uru, mwika, marangu, Rombo, kilema ni uchagani, wanayosema ni ukweli, yamemkuta kaka yangu mwaka Jana, kidogo arrest in peace sema juhudi za ndugu kumtonya angekuwa mavumbi leo. Hilo kabila acha tu waoane wenyewe. Nakumbuka nikiwa shule watu wa uru walikuwa wanasema ni marufuku muuru kujenga nyumba inatazama Machame kwako ni mkosi
 
Maumbo ...hapo sisemi maana mamisi na warembo huko ndo kwao
 
Wabinafsi, wachoyo, wachapa kazi, wajanja sana, kwenye suala la pesa hawana mchezo, wanauza bidhaa sokoni chini ya vigunia vyao kuna mapanga na visu ni wapiganaji wazuri wanapochokozwa hasa na vibaka.
Hujakosea kwenye suala la pesa hawana mchezo. Walio maofisini ni balaa kwa uchoyo, ujanja na ufitinishi ili mradi tu wapate maslahi yao "pesa"
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom