ungonella wa ukweli
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 4,210
- 556
teh teh....siku ya ndo yako nunua jeneza liweke ndani kabisa, na usisahau kuandika urithi kwa watoto. maana hujui siku wala saa atakayokuja mwana wa daudi
teh teh....siku ya ndo yako nunua jeneza liweke ndani kabisa, na usisahau kuandika urithi kwa watoto. maana hujui siku wala saa atakayokuja mwana wa daudi
kwi kwii, mkuu lakini kipenda roho hula nyama mbichi, jitoe tu mhanga!uuuuuuuuwiiiiii nilitaka kujikaanga kwa mafuta yangu mwenyewe no siwezi nimeahilisha nasema sitaki tena
umesahau ya kupenda mali/pesa kuliko, pia ni mjane mtarajiwa ni kawaida kwao!Hawana shida mbona, ninachojua ukioa mmachame hamtalala njaa....wanajua kusaka hela sana.ila usafi wa nyumbani na kujiremba kwao mwiko!
Ama kweli mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe.
Haya nyie endeleeni tu ila sisi tumetulia tuli na waume zetu na maisha ni bomba.
teh teh,kweli kipenda roho hula nyama mbichi...Kiongozi let me declare that I have a thing for chagga girls. Huwa nahama tu mara binti kutoka machame, mara marangu, mara mwika, mara uru lakini sichezi mbali. Ukweli ni kuwa nawakubali sana wasichana/wanawake wa ki-chagga. Ni wazuri na pia focused on life. In short they r cute and their brains are ready, mind steady.
Wangekuwa basi wanatoa na ushahidi......kwamba kuna fulani alioa mmachame akauwawa........wote hao wanaosema hivyo ni kusikia tu.......wanaume wajanja huoa uchagani bana.......na hakunaga mchaga f.a.l.a......
Ama kweli mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe.
Haya nyie endeleeni tu ila sisi tumetulia tuli na waume zetu na maisha ni bomba.
Ama kweli mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe.
Haya nyie endeleeni tu ila sisi tumetulia tuli na waume zetu na maisha ni bomba.
Wangekuwa basi wanatoa na ushahidi......kwamba kuna fulani alioa mmachame akauwawa........wote hao wanaosema hivyo ni kusikia tu.......wanaume wajanja huoa uchagani bana.......na hakunaga mchaga f.a.l.a......
Kaoe usukumani kwenu bana usiteletee uchuro na dada zetu...!!!!
Kaoe usukumani kwenu bana usiteletee uchuro na dada zetu...!!!!
uuuuuuuuwiiiiii nilitaka kujikaanga kwa mafuta yangu mwenyewe no siwezi nimeahilisha nasema sitaki tena
hiv watu wanawake wa mbokomu wakoje???