Sifa za mwanamke wa kimachame

Sifa za mwanamke wa kimachame

Status
Not open for further replies.
Glisten kwa taarifa yako wachaga woote wa kike niliowahi kuteta nai mambo ya mapenzi/ mahusiano wengi wanaonyesha kutokuwa tyr kuolewa na wachaga wenzao, wengine wanaapa kabisa bora asiolewe
 
Wamachame wana mazuri mengi kuliko mabaya yao
1. Wacha DINI (hasa KKKT na ulokole)
2. Wapenda ELIMU (tofauti na ndugu zetu wa-Bagamoyo, Kibiti na Ruangwa- Tanga, Pwani Lindi & Mtwara)
3. Wasakaji noti
4. Wazuri wa SURA na SHEPU (si kama Wachaga wengine toka KIBOSHO, URU, MARANGU na ROMBO).
UBAYA;
Ni wakali wa kugomba kila wakati
 
Machame ni shidaaa
 

Attachments

  • IMG-20170903-WA0009.jpg
    IMG-20170903-WA0009.jpg
    68.6 KB · Views: 101
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom