Sifa za husband material

Sifa za husband material

1. Anajitambua
2. Mpole
3. Ana busara
4. Ni mtoaji sio mchoyo tena bila kuomba
5. Ana tafuta solution tu pindi akikukwaza
6. Hayuko tayari ku kupoteza
7. Ana risk kila kitu kwaajili yako
8. Ana huruma
9. Anakufanyia suprise often just kukufanya uwe na furaha
10. Ana kusifia very often
11. Anakua open na kueleza mipango yake
12. Anakua na wewe kwenye shida na raha
13. Anakuambia nakupe very often
14. Anawajulia hali familia yako
15. Sio mtu wa kununa wala kukasirika ovyo
16. Ni mpambanaji na anajitegemea

Na zingine malizieni.
17. Hatumagi ya kutolea
 
Ni kweli ila toka mwaka umeanza umekutana na mwanaume mwenye sifa hata 5 kati ya hizo zilizotajwa. Na kama yupo basi hajagi kwenye vikao vyetu
😂kwanza sifa nazotaka hata nyingine hazipo hapo....
Aliyoandika hapo mengine ya kufikirika,we r human!
Ila vipo vya msingi
 
😂kwanza sifa nazotaka hata nyingine hazipo hapo....
Aliyoandika hapo mengine ya kufikirika,we r human!
Ila vipo vya msingi
Safi kabisa kweli vipo vya msingi ila nadhani unaelewa haya mambo ni pande mbili ndio maana wanasema penda nikupende heshimu nikuheshimu.

Sasa kama upande mmoja utatoa yalio mema alafu uapnde mwingine ngoma iwe ngumu lazima mtalalamika HM anazingua
 
Safi kabisa kweli vipo vya msingi ila nadhani unaelewa haya mambo ni pande mbili ndio maana wanasema penda nikupende heshimu nikuheshimu.

Sasa kama upande mmoja utatoa yalio mema alafu uapnde mwingine ngoma iwe ngumu lazima mtalalamika HM anazingua
Yes ,love is two way traffic!
Hapa ndo issue
Ukiona upande mmoja tu ndo una suffer hakuna kitu hapo.
Bora ukae mwenyeww mpk update mtakae elewana
 
Ata na sisi wanawake siku hizi tunawakimbilia nchi za nje tumewachaa nyie wanaume mnaowadangia wanawake na wake za watu maana siku hizi nyie wanaume hamuwezi kufanya kazi mbasubiri kuolewa
miaki mia saba uzuri tunawafahamu kama kina wema tu ujanja wao wote wameisha kuruka ruka kijichi ya mbagala itakua nyinyi ambao ata kingireza cha kuombea maji tu kinawashinda kazi kuomba omba hela za kufanyia vitu vya kijinga
 
1. Anajitambua
2. Mpole
3. Ana busara
4. Ni mtoaji sio mchoyo tena bila kuomba
5. Ana tafuta solution tu pindi akikukwaza
6. Hayuko tayari ku kupoteza
7. Ana risk kila kitu kwaajili yako
8. Ana huruma
9. Anakufanyia suprise often just kukufanya uwe na furaha
10. Ana kusifia very often
11. Anakua open na kueleza mipango yake
12. Anakua na wewe kwenye shida na raha
13. Anakuambia nakupe very often
14. Anawajulia hali familia yako
15. Sio mtu wa kununa wala kukasirika ovyo
16. Ni mpambanaji na anajitegemea

Na zingine malizieni.
17. Ha-exist
 
Back
Top Bottom