Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 15,719
- 50,055
Mwambie rafiki yanguHakuna binadamu wa hivo na huwez kupata mtu anasifa zote unazotaka
Mwambie rafiki yanguHakuna binadamu wa hivo na huwez kupata mtu anasifa zote unazotaka
Niko hapa ninazo 4 na 7Wangu amekosa 4 na 7 ....ni huzuni😭
The Bold 😘Jamani acheni kumshambulia mtoa mada, hao wanaume wapo na mmoja wapo ni wa kwangu mimi.
One and a half man!
Ebu tuonane mara moja, kuna kitu tunatakiwa tujadili katika uwekezaji wa uchimbaji wa mafuta na gesiKama wako tu
Ebu tuonane mara moja, kuna kitu tunatakiwa tujadili katika uwekezaji wa uchimbaji wa mafuta na gesi

ili mizami i balance tugawe kwa mbili sawa na wanaume 8
Hakuna mtu perfect hivi bongo1. Anajitambua
2. Mpole
3. Ana busara
4. Ni mtoaji sio mchoyo tena bila kuomba
5. Ana tafuta solution tu pindi akikukwaza
6. Hayuko tayari ku kupoteza
7. Ana risk kila kitu kwaajili yako
8. Ana huruma
9. Anakufanyia suprise often just kukufanya uwe na furaha
10. Ana kusifia very often
11. Anakua open na kueleza mipango yake
12. Anakua na wewe kwenye shida na raha
13. Anakuambia nakupe very often
14. Anawajulia hali familia yako
15. Sio mtu wa kununa wala kukasirika ovyo
16. Ni mpambanaji na anajitegemea
Na zingine malizieni.
Mrembo, mbona unacheka 😂; na wewe unakaribishwa uje tujadili namna ya kuupiga chini huu umasikini unaotuelemea
Nashukuru kwa mualiko , nitakaribiaMrembo, mbona unacheka; na wewe unakaribishwa uje tujadili namna ya kuupiga chini huu umasikini unaotuelemea

Anza kuandaa ajenda za kikao
Hivyo vyote unaweza pata kwa mwanaume mmoja ila tatizo nyie mnatoa nini zaidi mnaishia kuwaumiza na wanaamua kuwa mabedui. Ndio maana tukaamua kila mmoja awe na sifa moja wapo hapo ili msituchanganyie mafaili1. Anajitambua
2. Mpole
3. Ana busara
4. Ni mtoaji sio mchoyo tena bila kuomba
5. Ana tafuta solution tu pindi akikukwaza
6. Hayuko tayari ku kupoteza
7. Ana risk kila kitu kwaajili yako
8. Ana huruma
9. Anakufanyia suprise often just kukufanya uwe na furaha
10. Ana kusifia very often
11. Anakua open na kueleza mipango yake
12. Anakua na wewe kwenye shida na raha
13. Anakuambia nakupe very often
14. Anawajulia hali familia yako
15. Sio mtu wa kununa wala kukasirika ovyo
16. Ni mpambanaji na anajitegemea
Na zingine malizieni.
My dear hakuna mkamilifu akupe vyote hivo lazima kasoro hata km sio Kwa ukubwa huo lakini hawez kuwa na kilakitu hapo 💯 ni uongoSema ww Ndio huwezi kupata
Nausijumuishe wote dada
Mumm1. Anajitambua
2. Mpole
3. Ana busara
4. Ni mtoaji sio mchoyo tena bila kuomba
5. Ana tafuta solution tu pindi akikukwaza
6. Hayuko tayari ku kupoteza
7. Ana risk kila kitu kwaajili yako
8. Ana huruma
9. Anakufanyia suprise often just kukufanya uwe na furaha
10. Ana kusifia very often
11. Anakua open na kueleza mipango yake
12. Anakua na wewe kwenye shida na raha
13. Anakuambia nakupe very often
14. Anawajulia hali familia yako
15. Sio mtu wa kununa wala kukasirika ovyo
16. Ni mpambanaji na anajitegemea
Na zingine malizieni.
hapendi kabisa ukitonga1. Anajitambua
2. Mpole
3. Ana busara
4. Ni mtoaji sio mchoyo tena bila kuomba
5. Ana tafuta solution tu pindi akikukwaza
6. Hayuko tayari ku kupoteza
7. Ana risk kila kitu kwaajili yako
8. Ana huruma
9. Anakufanyia suprise often just kukufanya uwe na furaha
10. Ana kusifia very often
11. Anakua open na kueleza mipango yake
12. Anakua na wewe kwenye shida na raha
13. Anakuambia nakupe very often
14. Anawajulia hali familia yako
15. Sio mtu wa kununa wala kukasirika ovyo
16. Ni mpambanaji na anajitegemea
Na zingine malizieni.
Usijumuishe mkuuHivyo vyote unaweza pata kwa mwanaume mmoja ila tatizo nyie mnatoa nini zaidi mnaishia kuwaumiza na wanaamua kuwa mabedui. Ndio maana tukaamua kila mmoja awe na sifa moja wapo hapo ili msituchanganyie mafaili
😀😀😀
Ni kweli ila toka mwaka umeanza umekutana na mwanaume mwenye sifa hata 5 kati ya hizo zilizotajwa. Na kama yupo basi hajagi kwenye vikao vyetuUsijumuishe mkuu
Hata sie tumekutana na wnaume mabedui
Lkn kamwe naamini watu wametofautiana