Hawa hawana tabu kabisa ni wakarimu na ni wacha Mungu hakika! Labda kizazi hk cha leo wakazibadilishe.
mh! Barabara ya vumbi ni noma! Huku Kaskazini ukioa mrangi lazima uhame mtaa maana utadharaulika sijui kwanini hawajirekebishi jamani. Hakuna mwanamke anayejitambulisha kama mrangi ni aibu!