Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 40,295
- 68,853
Hizi ndogo ndogo Tu za kula after all wenye hela akina Mo na kina GSM hawana Tabia za Umalaya, ni sisi Tu washamba wa vihela vya nyama choma na biaThubutuu...bila pesa?
Hizi ndogo ndogo Tu za kula after all wenye hela akina Mo na kina GSM hawana Tabia za Umalaya, ni sisi Tu washamba wa vihela vya nyama choma na biaThubutuu...bila pesa?
Sawa, kuna kujitegemea, ambapo wanawake wengi sasa hivi sio tegemezi, wanawajibika kwao na watu wao.
Ila kuwa classic kama ulivyosema ni zaidi ya kujitegemea mkuu, kuwa classic ni pamoja na kumiliki vitu fulani ambavyo mwanamke wa kawaida anayejitegemea hana. Yaani hadi uambiwe Espy_ wangu ni classic lady( of which she is) kuna vitu anavyo, anamiliki, na vinamfanya awe juu kidogo ya hawa ambao wanajitegemea ndio, lakini ni level ya kawaida, haiwafanyi kuwa classic.
Ndio high class huyo?
Sio kila mtu atakuwa kama Dewji,mtu akiwa na kipato cha uhakika inatoshaHizi ndogo ndogo Tu za kula after all wenye hela akina Mo na kina GSM hawana Tabia za Umalaya, ni sisi Tu washamba wa vihela vya nyama choma na bia
Sawa ukiwa na majiko manne ya supu ni kiwanda au sioSio kila mtu atakuwa kama Dewji,mtu akiwa na kipato cha uhakika inatosha
Sasa jamani unakuwa high class halafu unapanda bodaboda?🤣🤣 Sio kweliMkuu Class sio lazima uwe na gari au vitu vikubwa vya gharama.
Hapo ndio wengi wanapokwama.
Ukishaweza kujitegemea yaani mahitaji yako ya msingi hayakusumbui kuwa Classic ni rahisi.
Wengi hufikiri kuvaa suti sijui makorokoro fulani ndio kuwa Classic hapana. Unaweza kuvaa nguo za kawaida lakini ziwe safi, nadhifu, zimenyooshwa vizuri na rangi sahihi na ukawa Classic kuliko mwenye vitu vikubwa.
Ingawake ukuwa na vitu vikubwa na ukawa Classic inaongeza mng'ao
Hapo sijui 😁Sawa ukiwa na majiko manne ya supu ni kiwanda au sio
Sasa jamani unakuwa high class halafu unapanda bodaboda?🤣🤣 Sio kweli
Uwe unapanda kwa kupenda sio kwa sababu ndio hiyo pekee unayoweza kuimuduHuo ni mtazamo tuu.
Unaweza ukawa High Class lakini unapanda baiskeli, bodaboda au bajaji au hata kutembea kwa mguu.
Vijana wapewe elimu na hapa nazungumzia True Education
Uwe unapanda kwa kupenda sio kwa sababu ndio hiyo pekee unayoweza kuimudu
Babe naona unajipakulia minyama🤣Sawa, kuna kujitegemea, ambapo wanawake wengi sasa hivi sio tegemezi, wanawajibika kwao na watu wao.
Ila kuwa classic kama ulivyosema ni zaidi ya kujitegemea mkuu, kuwa classic ni pamoja na kumiliki vitu fulani ambavyo mwanamke wa kawaida anayejitegemea hana. Yaani hadi uambiwe Espy_ wangu ni classic lady( of which she is) kuna vitu anavyo, anamiliki, na vinamfanya awe juu kidogo ya hawa ambao wanajitegemea ndio, lakini ni level ya kawaida, haiwafanyi kuwa classic.
Hawa watibeli ni dhaifu sana mbele ya wanawake.ukiwa mwanaume wa shoka kama Mimi mwehu ndama, wanawake wote unawaona sawa tu .hata hao so called high class women lazima warudi wenyewe kwenye default settings za wanapokutana na chuma kama mimi
Ukianza kumwona mwanamke ana akili nyingi, high class sijui anajitambua basi uanaume wako upo shakani... ni mwanaume usiyejiamini mbele ya mwanamke. Hakuna cha high wala low class.. ukimtaka mwanamke hizo class zake zipuuze.
Hawa watibeli ni dhaifu sana mbele ya wanawake.
Zamani nilikuwa na mtazamo wa kidhaifu kama wewe. Nilipouacha nikajikuta naona wanawake wote ni sawa.Huwezi puuza social class za watu kwenye jamii.
Iwe unamtaka au humtaki.
Watu wanaishi kimadaraja. Na madaraja yote ni muhimu na yanategemeana
Zamani nilikuwa na mtazamo wa kidhaifu kama wewe. Nilipouacha nikajikuta naona wanawake wote ni sawa.
Huo ni mtazamo tuu.
Unaweza ukawa High Class lakini unapanda baiskeli, bodaboda au bajaji au hata kutembea kwa mguu.
Vijana wapewe elimu na hapa nazungumzia True Education
Uwe high class upande bodaboda???? mmmh!!!! mi na umaskini wangu sijui kama naweza kupanda pikipiki