Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 12,581
- 23,738
Naaam kuna wanawake wako njema bhn awe mzuri au kawaida ila wanakuwa classy mno 🔥 plus mpungaHaswaa, hiyo high class inakamilishwa na pesa.
Naaam kuna wanawake wako njema bhn awe mzuri au kawaida ila wanakuwa classy mno 🔥 plus mpungaHaswaa, hiyo high class inakamilishwa na pesa.
Hata mimi sijazungumzia utajiri wa kwenda kula bata dubai kila mwezi. Naongelea hizi pesa za mboga, ukipata tatizo linalohitaji milioni ya haraka huhangaiki kumpigia sijui kaka, mjomba
Kama umemuelewa vizuri mtoa mada unyenyekevu kwa wenza ni moja ya sifa yao 🤣ukiwa mwanaume wa shoka kama Mimi mwehu ndama, wanawake wote unawaona sawa tu .hata hao so called high class women lazima warudi wenyewe kwenye default settings za unyenyekevu wanapokutana na chuma kama mimi
ukiwa mwanaume wa shoka kama Mimi mwehu ndama, wanawake wote unawaona sawa tu .hata hao so called high class women lazima warudi wenyewe kwenye default settings za unyenyekevu wanapokutana na chuma kama mimi
Kwa sie low class ni nyingi sana hiyo 😁Milioni sio hela nyingi Mkuu. Ukiamua kukata wategemezi. 😀😄😄
Kama umemuelewa vizuri mtoa mada unyenyekevu kwa wenza ni moja ya sifa yao 🤣
Kwa sie low class ni nyingi sana hiyo 😁
Ili equation i-balance kwenye hii hoja yako, pesa iwepo. Utake usitake, high class man/woman lazima awe na hela mzee!
Nimeandika asiwe tegemezi
Ili equation i-balance kwenye hii hoja yako, pesa iwepo. Utake usitake, high class man/woman lazima awe na hela mzee!
100% perfect, na hii huhitaji kuwa na hela, You just need to possess the Alpha Male C-risticsukiwa mwanaume wa shoka kama Mimi mwehu ndama, wanawake wote unawaona sawa tu .hata hao so called high class women lazima warudi wenyewe kwenye default settings za unyenyekevu wanapokutana na chuma kama mimi
Haiwezi kuisha maana mtu hadi kufikia hatua nzuri ya uchumi pengine amewezeshwa na watu wengine.Watanzania wengi sio lower class ila wanaendekeza Mila potofu ikiwemo kuendekeza utegemezi kwa watu wanaotakiwa kuchapa kazi
Ndio high class huyo?Nimeandika asiwe tegemezi. Yaani ajitegemee
Masponser most of the time, usiwamini kabisa utajiri wa mwanamke ktk kudanga kwangu koote nimeona mengiHaiwezi kuisha maana mtu hadi kufikia hatua nzuri ya uchumi pengine amewezeshwa na watu wengine.
Thubutuu...bila pesa?100% perfect, na hii huhitaji kuwa na hela, You just need to possess the Alpha Male C-ristics
Kumbe na wewe unadanga? Kwa hiyo hata utajiri wa mwanaume tusiuamini maana ninyi pia mnadangaMasponser most of the time, usiwamini kabisa utajiri wa mwanamke ktk kudanga kwangu koote nimeona mengi
Sawa, kuna kujitegemea, ambapo wanawake wengi sasa hivi sio tegemezi, wanawajibika kwao na watu wao.Nimeandika asiwe tegemezi. Yaani ajitegemee
Hahaha sijasema hivyoKumbe na wewe unadanga? Kwa hiyo hata utajiri wa mwanaume tusiuamini maana ninyi pia mnadanga
Umesema hivyoHahaha sijasema hivyo