Sifa hizi zikufanye ukajitegemee

Sifa hizi zikufanye ukajitegemee

Hayo mahitaji kayatoe ukiwa unaishi pahala pengine. Ukiishi na wazazi mkeo na watoto wako hawana uhuru wala furaha
Waarabu na wahindi wanaishi hivyo na wanafanikiwa .

Shida kubwa ya waswahili Akili ndogo kwahiyo kila jambo unalitazama Kama tatizo au Mzigo.

Unaweza ukakaa na Mama na Baba Mke wako na watoto na mkaishi Vizuri Sana na wahindi wanaishi hivi na ukiangalia familia zao zimestawi Sana .

Kukaa kwenu sio tatizo Ila muhimu in life make sure unakuwa Provider tu haijalishi unakaa wapi.
 
Waarabu na wahindi wanaishi hivyo na wanafanikiwa .

Shida kubwa ya waswahili Akili ndogo kwahiyo kila jambo unalitazama Kama tatizo au Mzigo.

Unaweza ukakaa na Mama na Baba Mke wako na watoto na mkaishi Vizuri Sana na wahindi wanaishi hivi na ukiangalia familia zao zimestawi Sana .

Kukaa kwenu sio tatizo Ila muhimu in life make sure unakuwa Provider tu haijalishi unakaa wapi.
Iwe wazazi ni wazee kabisa na hawajiwezi ila jitahidi uwe na mjengo wako mbali na hapo kwa wazee utailetea familia yako heshima
 
Miaka 25 mbona umeanzia mbali Sana mkuu?
Mwanaume akishafikisha umri wa miaka 20 Tu huyo tayari kashakuwa mtu mzima na anapaswa kujitegemea
 
Mzazi akishakuzaa hiyo ni fursa mengine kajipambanie mbele kwa mbele
Ndio maana wabongo wanazaa watoto ambao hawawezi kuwalea. Sio sawa watu wazima kurundikana kwenye nyumba ya mzazi lakini hiyo ni dalili kuwa kuna sehemu wazazi walilegea kimalezi. Kingine si kila kuzaliwa ni fursa ila laana za mahangaiko tu
 
Hizo ndizo fikra za kiafrika tena za kimasikini. Mbona wahindi, waarabu, wazungu na wachina hawafanyi hivyo? Hebu iangalie familia tajiri ya Bakhresa wanavyoishi pamoja. Na wanashiriki pamoja kuuendeleza na kurithishana utajiri wa familia
 
Inatia aibu na fedheha kijana umeshamaliza shule kwa ngazi yoyote na bado unakaza chogo na komwe nyumbani kwa wazazi wako. Kwa sifa hizi beba begi au mfumo wa Jero ukapambane mbele kwa mbele;
1. Umefika umri wa miaka 25 na haupo shuleni kwa ngazi yoyote.
2. Unaona hali ya familia haiwezi kukuendeleza kwa elimu yoyote.
3. Wazazi wako umri umeenda na uwepo wako unakuwa ni mzigo kwao, fungua macho na masikio utaona unavyowalemea.
4. Una afya njema na hauna ulemavu wa akili wala kimwili.
5. Kwa sababu yoyote umezalia nyumbani au umetupiwa mtoto/watoto na mwanamke/wanawake zako.
USIKAE NYUMBANI UTALEMAA AKILI NA MWILI, USIOE KWENYE NYUMBA AMBAYO WAZAZI WAKO WANAISHI HAPO.
OMBI LANGU KWA WAZAZI WOTE KAMA UNA MTOTO UNAONA HATAKI KWENDA KUJITEGEMEA NIPE TAARIFA NITAKUJA KUKUSAUDIA AU KUKUPA MBINU ZA KUMFUKUZA.
Doh! Kweli dunia kubwa hii.. njoo Unguja hapa kuna dogo haeleweki hela anapata hatujui anapeleka wapi na kujitegemea hataki
 
šŸ˜… Kwahiyo kilicho kukimbiza kwenu..ulihc mshua wako angemshika kalio wife? Kama anahizo tabia atakuja kumshikia huko huko kwako mzee
Nimeongea lugha ya picha
 
Back
Top Bottom