Mangwea1900
JF-Expert Member
- May 29, 2025
- 2,485
- 3,224
- Thread starter
- #41
Akijinyonga mwenyewe ndo safi na hakuna kesi𤣠Inatakiwa wewe uliyemleta duniani ndiyo umnyonge mkuu
Akijinyonga mwenyewe ndo safi na hakuna kesi𤣠Inatakiwa wewe uliyemleta duniani ndiyo umnyonge mkuu
š DahAkijinyonga mwenyewe ndo safi na hakuna kesi
Waarabu na wahindi wanaishi hivyo na wanafanikiwa .Hayo mahitaji kayatoe ukiwa unaishi pahala pengine. Ukiishi na wazazi mkeo na watoto wako hawana uhuru wala furaha
Iwe wazazi ni wazee kabisa na hawajiwezi ila jitahidi uwe na mjengo wako mbali na hapo kwa wazee utailetea familia yako heshimaWaarabu na wahindi wanaishi hivyo na wanafanikiwa .
Shida kubwa ya waswahili Akili ndogo kwahiyo kila jambo unalitazama Kama tatizo au Mzigo.
Unaweza ukakaa na Mama na Baba Mke wako na watoto na mkaishi Vizuri Sana na wahindi wanaishi hivi na ukiangalia familia zao zimestawi Sana .
Kukaa kwenu sio tatizo Ila muhimu in life make sure unakuwa Provider tu haijalishi unakaa wapi.
Nataka unifukuzie kijana wangu ššššNimpokea hauongei
Anzeni kumsema ukiwa na mwenzako na kumnyima chakula na siku zikienda mfungieni njeNataka unifukuzie kijana wangu šššš
Ndio maana wabongo wanazaa watoto ambao hawawezi kuwalea. Sio sawa watu wazima kurundikana kwenye nyumba ya mzazi lakini hiyo ni dalili kuwa kuna sehemu wazazi walilegea kimalezi. Kingine si kila kuzaliwa ni fursa ila laana za mahangaiko tuMzazi akishakuzaa hiyo ni fursa mengine kajipambanie mbele kwa mbele
š Kwahiyo kilicho kukimbiza kwenu..ulihc mshua wako angemshika kalio wife? Kama anahizo tabia atakuja kumshikia huko huko kwako mzeeUsigombane dingi akishika kalio la wife
Baba yangu mwenyw yupo kwa baba yake unafikiri kila familia wanafukuzwa nnBaba yako angekomalia kwao ungekuwa na hali gani
Doh! Kweli dunia kubwa hii.. njoo Unguja hapa kuna dogo haeleweki hela anapata hatujui anapeleka wapi na kujitegemea hatakiInatia aibu na fedheha kijana umeshamaliza shule kwa ngazi yoyote na bado unakaza chogo na komwe nyumbani kwa wazazi wako. Kwa sifa hizi beba begi au mfumo wa Jero ukapambane mbele kwa mbele;
1. Umefika umri wa miaka 25 na haupo shuleni kwa ngazi yoyote.
2. Unaona hali ya familia haiwezi kukuendeleza kwa elimu yoyote.
3. Wazazi wako umri umeenda na uwepo wako unakuwa ni mzigo kwao, fungua macho na masikio utaona unavyowalemea.
4. Una afya njema na hauna ulemavu wa akili wala kimwili.
5. Kwa sababu yoyote umezalia nyumbani au umetupiwa mtoto/watoto na mwanamke/wanawake zako.
USIKAE NYUMBANI UTALEMAA AKILI NA MWILI, USIOE KWENYE NYUMBA AMBAYO WAZAZI WAKO WANAISHI HAPO.
OMBI LANGU KWA WAZAZI WOTE KAMA UNA MTOTO UNAONA HATAKI KWENDA KUJITEGEMEA NIPE TAARIFA NITAKUJA KUKUSAUDIA AU KUKUPA MBINU ZA KUMFUKUZA.
Pigeni bakora baada ya kummwagia maji ili bakora ziingieDoh! Kweli dunia kubwa hii.. njoo Unguja hapa kuna dogo haeleweki hela anapata hatujui anapeleka wapi na kujitegemea hataki
Babu yangu mwnyw yupo kwa baba akeWote mna laana isipokuwa babu yako tu
Mnapishana vipi uwani asubuhiBaba yangu mwenyw yupo kwa baba yake unafikiri kila familia wanafukuzwa nn
Nimeongea lugha ya pichaš Kwahiyo kilicho kukimbiza kwenu..ulihc mshua wako angemshika kalio wife? Kama anahizo tabia atakuja kumshikia huko huko kwako mzee
Uwani ndo toilet auMnapishana vipi uwani asubuhi
Safi sana na hongera kwa kuwakilisha fikra za vijana mazuzuUwani ndo toilet au
Nakutania mkuu, mwenyw natamani niwe na kwangu....... Still young Ila nikae kwangu mzee,
Mazuzu ndo nn š¤Safi sana na hongera kwa kuwakilisha fikra za vijana mazuzu