Mangwea1900
JF-Expert Member
- May 29, 2025
- 2,485
- 3,224
- Thread starter
- #61
Wasiotaka kufikiri kesho yaoMazuzu ndo nn 🤔
Una miaka mingapi
Wasiotaka kufikiri kesho yaoMazuzu ndo nn 🤔
24-27 narange hapo bossWasiotaka kufikiri kesho yao
Una miaka mingapi
Pambana24-27 narange hapo boss
Naam nashukuru sana kkPambana
Hufai kua mzazi nyinyi ndio mnapiga mimba kisha mnazikimbia, shenzitaipuKumbe unajua kuna kukopa nenda kakope ukaanzishe hiyo biashara
Jaribu kuwa mzazi tuone kizazi chako. Unataka wazazi wako wakupe mtaji wakati wewe huna Wala kuanzisha cha kwako. Kutwa umevaa kibukta au dela unaburuza matende nyumbani kwa wazazi wakoHufai kua mzazi nyinyi ndio mnapiga mimba kisha mnazikimbia, shenzitaipu
Wanafahamu maisha yakujitegemea pasina mipango yoyote. Kijana anahitaji saport ajitegemee either alipiwe chumba miezi kadhaa na vitu fln vya ndani na ataftiwe kibarua atlest aingize laki kwa mwezi sasa mnataka wajitegemee hovyo? Mnawatakia nini watato wa afumbili???Kumezuka katabia kawatu kukataa huu ushauri sjui ni kwanini
Lakin hao wote waliokataa unakuta hawapo kwao