Sifa hizi zikufanye ukajitegemee

Sifa hizi zikufanye ukajitegemee

OMBI LANGU KWA WAZAZI WOTE KAMA UNA MTOTO UNAONA HATAKI KWENDA KUJITEGEMEA NIPE TAARIFA NITAKUJA KUKUSAUDIA AU KUKUPA MBINU ZA KUMFUKUZA.
Wewe mzazi ulipokua unatomba na kumtia mkeo mimba huyo mtoto alikuagiza utombane? Acha kua na akili za kindezi mpe mtaji basi sio unaleta fyokofyoko hujui km mfumo umebadirika? Mfumo aliouweka Nyerere Wengese wengine wamekuja wamevurugavuruga kila kitu unategemea nini? Kopa bank mpe mtaji aanze kujitegemea acha ufala
 
Hizi comments zinamaanisha,....usipangie watu namna ya kuishi😅
 
Wewe mzazi ulipokua unatomba na kumtia mkeo mimba huyo mtoto alikuagiza utombane? Acha kua na akili za kindezi mpe mtaji basi sio unaleta fyokofyoko hujui km mfumo umebadirika? Mfumo aliouweka Nyerere Wengese wengine wamekuja wamevurugavuruga kila kitu unategemea nini? Kopa bank mpe mtaji aanze kujitegemea acha ufala
Kumbe unajua kuna kukopa nenda kakope ukaanzishe hiyo biashara
 
Baba angu mwenyewe hapa yupo kwa baba ake na mimi niko kwa babu 😎
 
Kama hawataki kuondoka nyumbani basi wawe na shughuli halali za kujiingizia kipato sio kula kulala tu na ww uchangie hata kitu, mzazi anafarijika kuwa ana kijana mpambanaji hakai kizembe, mmoja anasema mbona wahindi, waarabu wanakaa nyumbani, wenzako wana mahali pa kwenda na kujiingiza hela.
 
Zinawasilisha sababu aidha wazazi wanaambiwa na watoto wao au vijana wao wanaziona zinawapa uhalali wa kuendelea kubaki kwa wazi hadi mvi
Mtoto hakuomba azaliwe,mwache kama ameridhika kuishi nawe
 
Kuna mambo mawili

Kukaa kwenu kwako
Na kukaa kwenu .

Mfano unaweza kuwa unakaa kwenu Ila ukawa wewe ndo main provider.

Kuanzia Chakula
Kulipa Bills zote
Kufanya maboresho n.k
Matibabu ya wazazi ,pocket money n.k

Hiyo sio mbaya

Ila mbaya ni kukaa kwenu kwa lengo la kupata unafuu Kama chakula ,kodi na bills nyingine .

So to me ambao wanabidi kukaa kwako ni wale niliowataja mwanzo.

Na ukikaa kwenu akili inadumaa na kuendelea kuwa na akili ya kitoto Kama ilivyo vijana wa uswahilini ambao wanagombania Maghofu ya urithi .
 
Umeshasema wahindi tabia za watoto wao ni tofauti kabisa.Mitoto ya kiafrika kazi kuiba na kutapanya mali za nyumbani. Mnatakiwa mkanitegemee ukitoka kazini unaelekea ghetoni kwako
Kauli sahihi hapo sio watoto wa kihindi na kiafrika ila tabia za wazazi wa kihindi na kiafrika.
Usimlaumu mtoto kwa failure za wazazi, watoto waliopo ni matunda ya wazazi ila tatizo la wazazi wa kiafrika huwa hawapendi kuwajibika kwa makosa yao ndio maana mzigo wa lawama wanawatupia watoto. Hukumlea mtoto kwa upendo ila akikutaa ukubwani unataka kutoa laana.
 
Kuna mambo mawili

Kukaa kwenu kwako
Na kukaa kwenu .

Mfano unaweza kuwa unakaa kwenu Ila ukawa wewe ndo main provider.

Kuanzia Chakula
Kulipa Bills zote
Kufanya maboresho n.k
Matibabu ya wazazi ,pocket money n.k

Hiyo sio mbaya

Ila mbaya ni kukaa kwenu kwa lengo la kupata unafuu Kama chakula ,kodi na bills nyingine .

So to me ambao wanabidi kukaa kwako ni wale niliowataja mwanzo.

Na ukikaa kwenu akili inadumaa na kuendelea kuwa na akili ya kitoto Kama ilivyo vijana wa uswahilini ambao wanagombania Maghofu ya urithi .
Hayo mahitaji kayatoe ukiwa unaishi pahala pengine. Ukiishi na wazazi mkeo na watoto wako hawana uhuru wala furaha
 
Kauli sahihi hapo sio watoto wa kihindi na kiafrika ila tabia za wazazi wa kihindi na kiafrika.
Usimlaumu mtoto kwa failure za wazazi, watoto waliopo ni matunda ya wazazi ila tatizo la wazazi wa kiafrika huwa hawapendi kuwajibika kwa makosa yao ndio maana mzigo wa lawama wanawatupia watoto. Hukumlea mtoto kwa upendo ila akikutaa ukubwani unataka kutoa laana.
Mzazi akishakuzaa hiyo ni fursa mengine kajipambanie mbele kwa mbele
 
Back
Top Bottom