Mangwea1900
JF-Expert Member
- May 29, 2025
- 2,485
- 3,224
Inatia aibu na fedheha kijana umeshamaliza shule kwa ngazi yoyote na bado unakaza chogo na komwe nyumbani kwa wazazi wako. Kwa sifa hizi beba begi au mfumo wa Jero ukapambane mbele kwa mbele;
1. Umefika umri wa miaka 25 na haupo shuleni kwa ngazi yoyote.
2. Unaona hali ya familia haiwezi kukuendeleza kwa elimu yoyote.
3. Wazazi wako umri umeenda na uwepo wako unakuwa ni mzigo kwao, fungua macho na masikio utaona unavyowalemea.
4. Una afya njema na hauna ulemavu wa akili wala kimwili.
5. Kwa sababu yoyote umezalia nyumbani au umetupiwa mtoto/watoto na mwanamke/wanawake zako.
USIKAE NYUMBANI UTALEMAA AKILI NA MWILI, USIOE KWENYE NYUMBA AMBAYO WAZAZI WAKO WANAISHI HAPO.
OMBI LANGU KWA WAZAZI WOTE KAMA UNA MTOTO UNAONA HATAKI KWENDA KUJITEGEMEA NIPE TAARIFA NITAKUJA KUKUSAUDIA AU KUKUPA MBINU ZA KUMFUKUZA.
1. Umefika umri wa miaka 25 na haupo shuleni kwa ngazi yoyote.
2. Unaona hali ya familia haiwezi kukuendeleza kwa elimu yoyote.
3. Wazazi wako umri umeenda na uwepo wako unakuwa ni mzigo kwao, fungua macho na masikio utaona unavyowalemea.
4. Una afya njema na hauna ulemavu wa akili wala kimwili.
5. Kwa sababu yoyote umezalia nyumbani au umetupiwa mtoto/watoto na mwanamke/wanawake zako.
USIKAE NYUMBANI UTALEMAA AKILI NA MWILI, USIOE KWENYE NYUMBA AMBAYO WAZAZI WAKO WANAISHI HAPO.
OMBI LANGU KWA WAZAZI WOTE KAMA UNA MTOTO UNAONA HATAKI KWENDA KUJITEGEMEA NIPE TAARIFA NITAKUJA KUKUSAUDIA AU KUKUPA MBINU ZA KUMFUKUZA.