MUSHEKY
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 2,812
- 2,767
Wewe mleta mada unatumia Wo Wo Wo kuwaza kama anachofanya rais hakikuingii achana nacho fanya mambo mengine
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulikuwepo version nyingine mwanzo kabisa.Sio kweli. Tazara kilichojengwa ni sawa kabisa na picha zilizokuwa pale. Picha hio hapo chini kabla ya ujenzi,View attachment 1338043 hebu sema inatofauti gani na kilichojengwa?
eeh eeh eeeh! Nyonga kibaskeli.Mie hata sielewi.. Pale mfugale walituambia ni flyover, kumbe ni MFUGALE BRIDGE
Rais amefanya nini yarabi?Wewe mleta mada unatumia Wo Wo Wo kuwaza kama anachofanya rais hakikuingii achana nacho fanya mambo mengine
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulikuwepo version nyingine mwanzo kabisa.Sio kweli. Tazara kilichojengwa ni sawa kabisa na picha zilizokuwa pale. Picha hio hapo chini kabla ya ujenzi,View attachment 1338043 hebu sema inatofauti gani na kilichojengwa?
Mimi sizungumzii uzuri,nazungumzia efficiency kulingana na tatizo tunalojaribu kuadressUzuri ni lazima utofautiane! Kuna wenye tecno na kuna wenyr iphone X ila wote wana smartphone
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtupie angalau kapicha 😂Ntakusaidia angalau usd 1000.00 utoke nje ya Tanzania kidogo,maana naona reference yako ni mkapa bridge na Magufuli.
Kwa hiyo kwa watumiajia wa barabara ya morogoro from Kimara na watumishi wa barabara ya manders then watoka Mwenge to kimara,Manzese to mwenge ,foleni itaendelea kuwa kama ilivyo pale Tanzara kwa sasa si ndo hivyo?Gombania goli ndio nini? Watatumia taa kama ambavyo wangetumia taa on upper level.
Na hiki hiki ndo kinajengwa ubungo,wameongeza tu daraja moja juu,je hiyo ya tmTazara inaufanisi gani ukilinganisha na hapo kabla?Sio kweli. Tazara kilichojengwa ni sawa kabisa na picha zilizokuwa pale. Picha hio hapo chini kabla ya ujenzi,View attachment 1338043 hebu sema inatofauti gani na kilichojengwa?
Sio hivyo. Kwasababu Tazara kuna flyover moja, na foleni inasababishwa na junction na kituo buguruni. Wakati ubungo kuna flyover mbili zinazopitisha magari ya barabara kuu moja Kwa moja bila kizuizi. Yanayokata Kona ni machache sana hayawezi kuleta kizaazaa kama cha buguruni.Kwa hiyo kwa watumiajia wa barabara ya morogoro from Kimara na watumishi wa barabara ya manders then watoka Mwenge to kimara,Manzese to mwenge ,foleni itaendelea kuwa kama ilivyo pale Tanzara kwa sasa si ndo hivyo?
Unauliza tazara ina ufanisi gani?! Waulize wakazi au watumiaji wa hio barabara wakwambie. Mimi huwa natumia nikienda airport nikufahamishe tu kuna unafuu mara 1000 na hapo awaliNa hiki hiki ndo kinajengwa ubungo,wameongeza tu daraja moja juu,je hiyo ya tmTazara inaufanisi gani ukilinganisha na hapo kabla?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwahiyo sie ndio watahalamu wa kupiga picha madarajani enheee[emoji1787]nimekupa kweli,kwa hiyo alidhani mzaramo ni mshamba mpaka akapige picha darajani? Mbona nyerere bridge ni kali kuliko ubungo bridge na still wazaramo hawaendi kupiga picha pale,Au aliwafananisha na wasukuma?
'Usilolijua ni usiku wa kiza'Ntakusaidia angalau usd 1000.00 utoke nje ya Tanzania kidogo,maana naona reference yako ni mkapa bridge na Magufuli.
🙄🙄🙄😏😏😏Serikali ilibadili mawazo kuhusu mchoro wa kwanza.
Rejea
![]()
Tanroads explains change in design of Ubungo interchange
Tanzania National Roads Agency (Tanroads) on Wednesday August 29 defended its decision to change the design for Ubungo interchange, clearing the air over assumptions that it was caused by scarcity ofwww.thecitizen.co.tz
Mchoro wa kwanza gharama zilikuwa kubwa sana japo serikali inajitapa ina hela
Sasa magufuli ameamua kukoroga uji kwa faida ya nani? haoni kama siku tukiamua kusonga ugali gharama itakuwa kubwa zaidi kwa maana ya gharama za uji plus gharama za ugali? Huyu mtu ni janga la nchi yetu sema tu basi ni TanzaniaKama nitakuwa nimesema uwongo ninaomba radhi kabla. Kinachojengwa sasa hivi Ubungo ni tofauti na kile cha awali. Mwanzoni ilikuwa ni interchange halafu na barabara ilikuwa itoke Ubungo hadi Kibaha. Financing ilikuwa ni partly ya WB na partly fedha za ndani.
Kutokana na sera za Jiwe kukataa kuwafidia waliobomolewa nyumba zao ikiwa ni pamoja na kudharau mazuio ya Mahakama juu ya kuwabomolea wamiliki wa nyumba hizo, WB walijitoa kufadhili kwa kuwa taratibu zinawakataza. Taratibu za WB zinakataza kujuhusisha na mradi wowote unao kandamiza haki za binadamu.
Baada ya hapo Serikali ikaamua kuwa kwa vile "unga hautoshi basi tukoroge uji badala ya kupika ugali" kwa kuwa ingredients ni hizo hizo na sufuria liko jikoni. Ndiyo maana mradi wa barabara unaishia Kinamna, na interchange imekuwa daraja juu ya daraja.
Kama nimekosea naomba radhi
Mkuu serikali haifanyi kazi,mimi na wewe ndo tunaamka saa kumi na moja alfajiri kwenda kusaka pesa,sasa unapotafuta pesa kwa tabu hivyo then kile kilichopatikana kikatumiwa hovyo na mtu huku wewe ukitazama, hiyo akili yako kama si akili ya maiti itakuwa nini?Wewe mleta mada unatumia Wo Wo Wo kuwaza kama anachofanya rais hakikuingii achana nacho fanya mambo mengine
Sent using Jamii Forums mobile app