DuppyConqueror
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 9,466
- 6,974
Baadhi ya watanzania akiwemo mleta mada wana mtindio wa ubongo. Uwezo finyu wa kuchanganua mambo na kujenga hoja..unatakiwa kuwa critical. Jiulize, je hizo minor changes (kama zipo) zimebadili purpose nzima ya ujenzi wa hiyo interchange? Alafu tuanzie hapo kujenga hoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanajamvi,naombeni kuuliza,hivi kile kitu kinachojengwa pale ubungo ndo kile kile ambacho Magufuli alituambia watani zake wazaramo tutapiga picha sana pale au kile ni kitu kingine?nisaidieni please mnaojua
Sent using Jamii Forums mobile app