mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,585
- 11,268
Pasipo picha huu Ni udaku
Kinachojengwa ubungo basically ni kile kile ila.. kuna mabadiliko madogo. Level ya pili imepelekwa chini, na level ya chini imekuwa ya pili. Mwanzoni level ya pili ilikuwa ya magari yanayokata Kona kutoka kimara kwenda buguruni na kutoka Mwenge kwenda kimara, kutoka buguruni kwenda posta na kutoka posta kwenda Mwenge.Wanajamvi,naombeni kuuliza,hivi kile kitu kinachojengwa pale ubungo ndo kile kile ambacho Magufuli alituambia watani zake wazaramo tutapiga picha sana pale au kile ni kitu kingine?nisaidieni please mnaojua
Hata ya Tazara na tofauti na picha za awaliWanajamvi,naombeni kuuliza,hivi kile kitu kinachojengwa pale ubungo ndo kile kile ambacho Magufuli alituambia watani zake wazaramo tutapiga picha sana pale au kile ni kitu kingine?nisaidieni please mnaojua
Karaga baho!!!!Wanajamvi,naombeni kuuliza,hivi kile kitu kinachojengwa pale ubungo ndo kile kile ambacho Magufuli alituambia watani zake wazaramo tutapiga picha sana pale au kile ni kitu kingine?nisaidieni please mnaojua
kwa hiyo kwa sasa watu wa kutoka kimara kwenda buguruni na kutoka buguruni kwenda manzese as well as watu wakutoka mwenye kwenda kimara na kutoka manzese kwenda mwenge inabidi wafanye gombania goli kama ilivyo sasa hivi kwa sababu tunataka kupunguza gharama?je ile ya mwanzo ililetwa na beberu au? au serikali hii yenye pesa nyingi ndo imeamua kubana pesa ili gombania goli iendelee?Je Magufuli alikuwa ana maanisha wazaramo wataenda kupigia picha kwenye haya madaraja?Kinachojengwa ubungo basically ni kile kile ila.. kuna mabadiliko madogo. Level ya pili imepelekwa chini, na level ya chini imekuwa ya pili. Mwanzoni level ya pili ilikuwa ya magari yanayokata Kona kutoka kimara kwenda buguruni na kutoka Mwenge kwenda kimara, kutoka buguruni kwenda posta na kutoka posta kwenda Mwenge.
Kwa hii ya pili pale mwanzo ilikuwa na complication nyingi na ndio Wabongo tunapenda,ule muingiliano wa barabara za juu.
Kuishusha chini hakubadili ufanisi wake bali umeondoa ule muingiliano wa barabara juu Kwa juu (kuokoa pesa) kitu ambacho Wabongo tunapenda.
Nyie tulieni tufanyie sample kwenu.... Nzur tutaweka kanda ya ziwa na ndipo mtapopigia picha mpende msipende.
Kwa sisi mkuu tuliopata kuona interchange za wenzetu kama ile ya ubungo ndo interchange kwa standard za ccm yetu basi sisi tunaelimu ya pekee yetu na akili za pekee yetu.Nikipata nafasi ntakuwekea kitu kimoja kilichopo Wisconsin pale Milwaukee au kitu kimoja cha Amsterdam angalau uoshe machoFlyover ni barabara juu ya barabara.. Mfano ni ile ya Mfugale pale Tazara.
Interchange ni barabara za juu zinazoingiliana.. Mfano ni ile ya Ubungo pale inayoendelea kujengwa.
Daraja ni kivuko. Mfano pale Kigamboni lile ni Daraja japo mtu anaweza kujengea hoja kuwa ni flyover na bado akawa sahihi.
Pamoja na watu kubeza, angalau tunabishana kwenye vitu vinavyoonekana. Haya ni maendeleo.
nimekupa kweli,kwa hiyo alidhani mzaramo ni mshamba mpaka akapige picha darajani? Mbona nyerere bridge ni kali kuliko ubungo bridge na still wazaramo hawaendi kupiga picha pale,Au aliwafananisha na wasukuma?
Hahahh exactly.Kama daraja la furahisha,hahah.
dodge
Ushamba ni nini?nimekupa kweli,kwa hiyo alidhani mzaramo ni mshamba mpaka akapige picha darajani? Mbona nyerere bridge ni kali kuliko ubungo bridge na still wazaramo hawaendi kupiga picha pale,Au aliwafananisha na wasukuma?
Kwa sisi mkuu tuliopata kuona interchange za wenzetu kama ile ya ubungo ndo interchange kwa standard za ccm yetu basi sisi tunaelimu ya pekee yetu na akili za pekee yetu.Nikipata nafasi ntakuwekea kitu kimoja kilichopo Wisconsin pale Milwaukee au kitu kimoja cha Amsterdam angalau uoshe macho
Gombania goli ndio nini? Watatumia taa kama ambavyo wangetumia taa on upper level.kwa hiyo kwa sasa watu wa kutoka kimara kwenda buguruni na kutoka buguruni kwenda manzese as well as watu wakutoka mwenye kwenda kimara na kutoka manzese kwenda mwenge inabidi wafanye gombania goli kama ilivyo sasa hivi kwa sababu tunataka kupunguza gharama?je ile ya mwanzo ililetwa na beberu au? au serikali hii yenye pesa nyingi ndo imeamua kubana pesa ili gombania goli iendelee?Je Magufuli alikuwa ana maanisha wazaramo wataenda kupigia picha kwenye haya madaraja?
Ndo nini?
Baki hivyo hivyoKaraga baho!!!!
Daraja la juu kwa kiingereza ndio flyover! Kuna watu bado wajinga sana
Sio kweli. Tazara kilichojengwa ni sawa kabisa na picha zilizokuwa pale. Picha hio hapo chini kabla ya ujenzi,Hata ya Tazara na tofauti na picha za awali
Uzuri ni lazima utofautiane! Kuna wenye tecno na kuna wenyr iphone X ila wote wana smartphoneKwa sisi mkuu tuliopata kuona interchange za wenzetu kama ile ya ubungo ndo interchange kwa standard za ccm yetu basi sisi tunaelimu ya pekee yetu na akili za pekee yetu.Nikipata nafasi ntakuwekea kitu kimoja kilichopo Wisconsin pale Milwaukee au kitu kimoja cha Amsterdam angalau uoshe macho