mkuu sindikiza na ka picha kiaina bana, inakuaje..!?Wanajamvi,naombeni kuuliza,hivi kile kitu kinachochengwa pale ubungo ndo kile kile ambacho Magufuli alituambia watani zake wazaramo tutapiga picha sana pale au kile ni kitu kingine?nisaidieni please mnaojua
Mkuu sina kapicha Ila naamini kama upo mkoa huwa unakiona hicho kinachojengwa ubungo TBC pale wanapoimba pambio za kusifu awamu ya tano kupitia the so called kishindo cha serikali ya awamu ya Tanomkuu sindikiza na ka picha kiaina bana, inakuaje..!?
sina mkuu ila naamini wadau watawekaWeka picha tafadhali, ili wachangiaji waweze kulinganisha kilichoahidiwa kujengwa, na kinachoendelea kujengwa sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapo juu ya sheriaHii nchi yetu sijui viongozi wetu wanatuchukuliaje?
Isiwe sababu yakutuona wananchi mafala.
Hii nchi yetu sijui viongozi wetu wanatuchukuliaje?
Kwani umeona niniWanajamvi,naombeni kuuliza,hivi kile kitu kinachojengwa pale ubungo ndo kile kile ambacho Magufuli alituambia watani zake wazaramo tutapiga picha sana pale au kile ni kitu kingine?nisaidieni please mnaojua
Hayo ndio makosa yenu watz ya kuwapigia makofi akina magu hadi wanawaona wajinga mna kazi kubwa.Wanajamvi,naombeni kuuliza,hivi kile kitu kinachojengwa pale ubungo ndo kile kile ambacho Magufuli alituambia watani zake wazaramo tutapiga picha sana pale au kile ni kitu kingine?nisaidieni please mnaojua