Sielewi kinachojengwa pale Mwenge, kwanini hawamalizi?

Sielewi kinachojengwa pale Mwenge, kwanini hawamalizi?

Hiki kipande cha Barabara ya Sam Nujoma kutokea Mwenge hadi Mlimani hadi kule karibia na simu2000 why hakikamiliki?

Kipande cha Mwenge Tegeta jamaa sijui wanajenga vipi yaani nashindwa kuelewa watamaliza lini maana ni kero

Ule mradi ukikamilika utasababisha foleni kubwa sana

Sam Nujoma hakua na foleni kivile, ila baada ya huu mradi kibarabara kitabaki kuwa chembemba sana na tujiandae kwa foleni kubwa.Mtu unadrive hadi huoni raha ya kumiliki gari?

Barabara wameziminya sana.
Pale Mwenge sijui wanajenga nini maana hapakamiliki, halafu wanajenga wanaacha viraka then wanahamia pengine, kuna kituo nimeona hadi washapaua na mabati kabisa!! Sielewi jamaa wanajenga nini pale!! mwenge pamekua kama sehemu ya majaribio tu, kila mwaka fedha zinamwagwa lakini shida haiishi....Hii kero hadi lini?Wahusika wapo tu au ni kwakua viongozi wao wanapita na ving'ora?
Hahaha wenye Nchi waache mambo yao
 
Dar Yote Tatizo Wamebomoa Barabara Yaani Kila Siku Ujenzi January Mpaka December Hawakamilishi
KKuna Mradi Mmoja Nao Hovyo
kutoka Lusahunga Mpaka Rusumo
KKilometers Zaidi Ya 100 Mkandarasi Kachimbua Barabara Halafu Anajenga Atakavyo
Hawa wakina ChoiceVariable Stuxnet barabara kwao huko kijiji kikubwa cha Mbeya inajengwa mwaka wa tano sasa na haina hata dalili za kukamilika
 
Hiki kipande cha Barabara ya Sam Nujoma kutokea Mwenge hadi Mlimani hadi kule karibia na simu2000 why hakikamiliki?

Kipande cha Mwenge Tegeta jamaa sijui wanajenga vipi yaani nashindwa kuelewa watamaliza lini maana ni kero

Ule mradi ukikamilika utasababisha foleni kubwa sana

Sam Nujoma hakua na foleni kivile, ila baada ya huu mradi kibarabara kitabaki kuwa chembemba sana na tujiandae kwa foleni kubwa.Mtu unadrive hadi huoni raha ya kumiliki gari?

Barabara wameziminya sana.
Pale Mwenge sijui wanajenga nini maana hapakamiliki, halafu wanajenga wanaacha viraka then wanahamia pengine, kuna kituo nimeona hadi washapaua na mabati kabisa!! Sielewi jamaa wanajenga nini pale!! mwenge pamekua kama sehemu ya majaribio tu, kila mwaka fedha zinamwagwa lakini shida haiishi....Hii kero hadi lini?Wahusika wapo tu au ni kwakua viongozi wao wanapita na ving'ora?
Pesa walimalizia kwenye uchaguzi
 
Yanahitaji haraka, achaneni ni misemo ya kipumbavu ya Kiswahili ya kwenye khanga.
Hata kupinga pinga kila kitu cha Serikali bila sababu ni upumbavu kiwango cha dreamliner
 
Back
Top Bottom