Tetesi: SIDO kuunda ndege ya kubeba abiria 500

Tetesi: SIDO kuunda ndege ya kubeba abiria 500

Katika muendelezo wa Mapinduzi ya viwanda, Shirika la viwanda vidogo vidogo (SIDO) lipo mbioni kuunda ndege ya kubeba abiria 500. SKYBUS Kazi_iendelee
Wabebe kwanza watumishi wa SIDO na familia zao.....ndani ya miezi 6 kwanza
 
Yani tumeshindwa kutengeneza Bajaji, pikipiki hata kirikuu tuje tutengeneze Ndege?
 
Katika muendelezo wa Mapinduzi ya viwanda, Shirika la viwanda vidogo vidogo (SIDO) lipo mbioni kuunda ndege ya kubeba abiria 500. SKYBUS Kazi_iendelee
tangu nianze kuisikia hata baiskeli hawajaweza, wakati congo huko kuna watu wanaishi na kutengeneza pesa kwa baiskeli za miti. hata huwa sijui mainjinia wa vyuo vyetu ambao wengine wanakuwa hadi maprofesa,wanasomeaga nini.
 
Katika muendelezo wa Mapinduzi ya viwanda, Shirika la viwanda vidogo vidogo (SIDO) lipo mbioni kuunda ndege ya kubeba abiria 500. SKYBUS Kazi_iendelee
Hii lazima uzinduzi afanye Mwenyekiti wa CCM ( DSM - MZA)
 
Kuna muda mnataka watu watoe maone mlalamike sio wazalendo🤣🤣🤣
 
Wa kwenda kuizindua awe ni Samia atarushwa nayo kutoka Dar hafi ......
 
Back
Top Bottom