Tetesi: SIDO kuunda ndege ya kubeba abiria 500

Tetesi: SIDO kuunda ndege ya kubeba abiria 500

H mada n ya 2024, vp huko sido mmefikia hatua gani mpaka sasa miaka miwili imepita?
Kweli ndege inaweza kuundwa chini ya miti? Real factory in picture
1779092594648.png
 
SIDO hawana ubunifu wala hawakaribishi ubunifu.
Hizi machine tu za kukuna nazi ni nzito kuliko jenereta.
 
Back
Top Bottom