Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 449
- 1,009
Habari jf , nimejaribu kawaza sana kwanini Nchi yetu bado hatujapata Rais Mlutheri mbali na kwamba tuna walutheri wengi?
Walokole nao ni wengi pia kwanini hatujapata Rais mlokole?
Inawezekana kukawa mambo mengi nyuma ya Urais yaani zaidi ya kura za wajumbe.
Lakini Inawezekana pia mfumo kuanzia Mwalimu Nyerere ulishamkataa ENL ,alichofanya JK ni kutekeleza tu.
Hivyo nadhani ni bora kuwa na Akiba ya Maneno kuliko kulaumu tu mzee wa watu.
Walokole nao ni wengi pia kwanini hatujapata Rais mlokole?
Inawezekana kukawa mambo mengi nyuma ya Urais yaani zaidi ya kura za wajumbe.
Lakini Inawezekana pia mfumo kuanzia Mwalimu Nyerere ulishamkataa ENL ,alichofanya JK ni kutekeleza tu.
Hivyo nadhani ni bora kuwa na Akiba ya Maneno kuliko kulaumu tu mzee wa watu.