Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,215
- 7,381
Ndugu zetu Kenya wamepeleka wanamichezo 93 sisi hapa tunapeleka watalii wangapi Olimpiki Japan? Au ndo bado tunachakata majina kupitia kamati kuu ya Olimpiki?
Safi sanaKuna mwaka ninakumbuka Tanzania ilipanga kupeleka wanamichezo 9 kwenye mashindano ya Jumuiya ya madola, lakini wakapelekwa 6 tu (wengine watatu wakaachwa kwa sababu ya taifa kushindwa kuwalipia nauli na gharama zingine), lakini msafara uliokwenda kwenye mashindano hayo ulikuwa na jumla ya watu 20, kati hao washiriki (wanamichezo) walikuwa 6 tu na watu wengine 14 waliobakia walikuwa ni maafisa na viongozi waliokuwa wanasindikiza washiriki.
ingekuwa nchi nyingine makini hao mawaziri wangeshikiwa bango mpaka wakajiuzulu halafu waandishi wetu takataka badala ya kuhoji vitu vya msingi wanahangaika na umbeyaHii nchi ina Mawaziri Wapumbavu na Watendaji Wapumbavu. Waziri wa Utalii, Waziri wa Michezo na Waziri wa Mambo ya nje wote hovyo kabisa. Wenzetu wametumia hapo kujitangaza sisi Bendera imebebwa na Mjapan ni aibu kubwa
unakuta kila mwaka viongozi ni haohao kina Bayi hamna chochote cha maana wakati wao waliibuliwa wakiwa vijijini leo wanatafuta wakimbiaji mijiniKila mshiriki anayeenda Olympic lazima awe amequalify kwa kufikisha vigezo vya kushiriki..sio kila mwanamichezo anaweza kwenda kushiriki.kwa Tanzania waliofuzu Ni watatu na wote Ni wanariadha...mfano kwa riadha fully marathon lazima uwe umekimbia kwenye mashindani ya yanayotambulika chini ya saa 2 dk 11 (2:11) ndio sifa kushiriki. Simbu na mwenzie wamefikia huko ,ndio maana wamequlify.....tatizo linakuja kwa miaka yote hiyo kweli kamati ya Olympic Tanzania na vyama vya michezo zimeshindwa kuandaa wanamichezo wakutosha wa riadha na ngumi etc wakaqulify? Kuna uzembe mahali.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nyie tumeshinda hukooo!Ndugu zetu Kenya wamepeleka wanamichezo 93 sisi hapa tunapeleka watalii wangapi Olimpiki Japan? Au ndo bado tunachakata majina kupitia kamati kuu ya Olimpiki?
View attachment 1870236
View attachment 1870878
Ccm wameiharibu sana hii nchi.Kuna mwaka ninakumbuka Tanzania ilipanga kupeleka wanamichezo 9 kwenye mashindano ya Jumuiya ya madola, lakini wakapelekwa 6 tu (wengine watatu wakaachwa kwa sababu ya taifa kushindwa kuwalipia nauli na gharama zingine), lakini msafara uliokwenda kwenye mashindano hayo ulikuwa na jumla ya watu 20, kati hao washiriki (wanamichezo) walikuwa 6 tu na watu wengine 14 waliobakia walikuwa ni maafisa na viongozi waliokuwa wanasindikiza washiriki.